Recent content by nicas orota

  1. N

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nami nataka niende Moro nipo mwanga nisaidie 0717391502
  2. N

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo mwanga halmashauri 0717391502
  3. N

    Wako wapi wanafunzi bora (Tanzania One) wa miaka ya nyuma?

    Nipo mwanga klm nahitaji ya combination PCM
  4. N

    African Leadership Forum

    Tunajiungaje??nisaidieni wadau
  5. N

    Hivi zile 'couple' za vyuoni huwa zinaishia wapi?

    Kua na uhusiano wa kimapenzi sehemu ulipo si kosa maana lazima viungo vyote vipate kazi kosa ni kutaka kumfanya mwenza wako wa maisha ambapo pale chuoni ni mapito tu na utatumia vigezo vichache vya kumtafuta mwenza bila kujua yale si maisha halisi ni kutafuta karatasi lililoandikwa ma GPA kwa...
  6. N

    Natafuta Mwanamke mwenye miaka 55 hadi 60 ili nimuoe tumalizie maisha ya duniani

    Mim nina 27 yrs natafuta mwanamke mweny 30 tena aliyeumizwa na penzi nimpe la uhakika
  7. N

    Hivi zile 'couple' za vyuoni huwa zinaishia wapi?

    Wakishakumbuka walipotoka kule kijijini,maisha halisi mambo yanakua buu buu
  8. N

    Wanaume wa JF mna shida gani?

    Akili za kupewa ongezea n zako
  9. N

    Wako wapi wanafunzi bora (Tanzania One) wa miaka ya nyuma?

    Wekeni maTO na waliofaulu vizuri na mafanikio yao na nieleweke sio kumchunguza mtu ni kuendelea kujifunza mambo.
  10. N

    Mshahara wa Agosti umetoka?

    Sis tunalipwa kwa wiki au kazi kamuulize afisa utumishi wako
  11. N

    Wanaume wa JF mna shida gani?

    Mi naona uve ampigie me wake amtoe stress
  12. N

    Wako wapi wanafunzi bora (Tanzania One) wa miaka ya nyuma?

    Kuna watu wageuza mada mambo ya diamondi wa n wapi
  13. N

    Wako wapi wanafunzi bora (Tanzania One) wa miaka ya nyuma?

    Nina grade Ateachers certificate n miaka 5 kazini nataka kujiendeleza nitoke hapa kwenye ualimu jumla nitokenye ushauri wazee huku ualimu shida tupu
Back
Top Bottom