Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,541
- 88,494
Wewe nina mashaka na akili zako
🤣🤣🤣🤣🤣 kakutana na mabaharia tu, washafanya yao.Hawa ndio waliambiwa ukijiunga JF unapata mume halaf mategemeo yakawa tofauti.
Huku ndio kichaka cha maovu sio?
Hapana mkuu..wewe ni expert unaweza kuta unawajua..maaana sio kwa mi point hiyoMkuu mimi nikikutajia hizo id utanipa hiyo vocha ya 10,000?
Tutawaoa hivo hivo ngoja muda uruhusu!Kwani wapi nimesema kuwa mimi ni Mzuri?
Ndiyo mimi ni Mbaya haijawahi tokea yaani!
Nyingi sana au chache sana!Wewe nina mashaka na akili zako
Marianah mambo yamebadilika si tu kwenye Jf bali hata kwenye jamii tuishiyo wa kuwaegemea kupata angalo ushauri ni wachache mno. Muhimu ni kila mmoja anayejitambua kujifundisha na kuepuka kufuata mob.Asante, mimi ni mgeni humu lakini natamani ningeijua JF tangu mwaka 2010 nikajiunga maana huwa nakutana na baadhi ya nyuzi za miaka hiyo na ninaona namna watu walivyokuwa wanachangia kiustaarabu kulinganisha na sasa yaani najutia sana kuchelewa kuijua JF
Tutawaoa hivo hivo ngoja muda uruhusu!
Hazimo kabisaNyingi sana au chache sana!
😂 😂 Kama hadi wewe umesema hivyo, kweli hazipo!Hazimo kabisa
Kabisa mkuuMarianah mambo yamebadilika si tu kwenye Jf bali hata kwenye jamii tuishiyo wa kuwaegemea kupata angalo ushauri ni wachache mno. Muhimu ni kila mmoja anayejitambua kujifundisha na kuepuka kufuata mob.
Kwani mimi ni nani?![]()
Kama hadi wewe umesema hivyo, kweli hazipo!
wewe MarianaKwani mimi ni nani?
Wanaume humu tupo kama popo hatuelewek ni wanyama au ndege, kutufatilia sana hutapata majib ya unachokitafutaHapana, i was expecting this, ninaamini kabisa maana wengi wenu ndipo uwezo wenu wa kufikiri unapoishia.