soon I sababu ya kuhangaika na ndoto za watu na isitoshe ndoto nyingi huwa hazina ukweli kwa kuwa nyingi huwa ni reflection ya kile mtu husika anachokiwaza,labda ndoto ambayo huwa inatimia ni pale unapoota kuwa unakojoa tu.Hiyo lazima kukicha utaanika matandiko tu
km wao kutwa nzima kuanzia majumbani,mtaani hadi kwenye mitandao wanajiachia uchiuchi lini wa baba tutakuwa na hamasa nao, wanaume tunakosa ile amshasha na hamasa ya kutaka kujua na kufaidi kilichomo ndani ya mavazi ya wadada maana muda wrote Viko njenje ndo maana tuna under perform
Mbona kaka mkuu alivyoenda makanisani na miskitini na maamzi ya kiranja wake wa darasa la jijini kuamua kuwajengea jengo bakwata hujaona kuwa ni hatari?
Anaongeza idadi ya wanaosoma sayansi bila kuwa na walimu wakuyawezesha masomo Hayo,hata mkakati wa kutengeneza madawat hautakuwa na positive results kwa kuwa yamekosa pa kuyaweka cjui watoto watakuwa wanayakalia wakiwa nje wakati wa mapumziko!?walipaswa kuanza na madarasa ambayo motto atakuja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.