Kuna maswali ya kujiuliza
1.Kuna uhusiano kati ya kuteuliwa kwa CAG mpya na account ya ESCROW?
2.Kwanini sasa hasa?kama madai kuwa Muda wa Ludovick uliisha Oct 5th mbona hakuapishwa muda huo huo?
3.Kwanini asema atapitia upya ripoti ya CAG wa zamani na hasa report ya escrow na sio ripoti zingine?
Ukweli lazima usemwe,bila ninani kaufanya.Hela zimeliwa na bila kufuata sheria na kanuni pia kuna ushahidi mwingi wa rushwa kutawala sakata hilo.Tuache hulka ya kutafuta mchawi au pa kutupia Lawama.Mengi,Mnyika,Mbowe kafanya nini?Ndio walio waagiza wachote fedha?Acheni hizo bhana.
Usisubiri mtaji ndugu gajjah.Uthubutu ndio jambo la msingi kidogo ulichonacho ANZA NACHO,mbele utakutana na watu wa kukusaidia ila kwa kuwa hujaanza kamwe hutawajua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.