run way ya mwanza bado ni fupi, jengo ni dogo pia. Mwanza kama kitovu muhimu cha biashara katika kanda ya ziwa ingetakiwa ijengwe international airport yenye hadhi ya jnia na siyo kale kajengo kadogo kama ka air strip. ni lazima tanzania tuwe tayari kufaidika na biashara katika ukanda huu
tatizo la vyuo vikuu vyetu wanajenga ukuta kati ya mwanafunzi na mwalimu, wanadhani mwanafunzi ataendelea kuwa mwanafunzi milele, wengine wakimwona hata raisi kwa vile ana diploma mfano profesa anadhani ahana cha kumsaidia kwa vile siyo profesa hapa watanzania tunaanguka sana
Mara nyingi anayeng'ang'ania kuongeza muda wa kustaafu ni yule mtumishi anayeona ajira ni kama sehemu ya kujipatia pesa za bure kila mwezi. Hapa namaanisha mara nyingi watu wa aina hii hawana juhudi kazini hivyo kutokuwa na mchango wowote au mchango kidogo kwa taasisi. Lakini kwa mchapa kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.