Recent content by nguvu

  1. N

    JamiiForums Tanzania Good old days

    Achana na unene, sio dili kabisa
  2. N

    JamiiForums Tanzania LATRA: Mabasi yote yaishie Stendi ya Magufuli na Mbagala

    Kwani bado lipo?
  3. N

    JamiiForums Tanzania LATRA: Mabasi yote yaishie Stendi ya Magufuli na Mbagala

    Kamdinyo
  4. N

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    Aliyeitwa hana maamuzi hapo, kila kitu atapangiwa na atatii
  5. N

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Viongozi wa TEC - Ikulu, Chamwino

    CCM kuna kitu wanavizia nawajua wale
  6. N

    JamiiForums Tanzania Babati kila MWANAMKE ni mzuri ndugu zangu njooni muoe huku

    Mpe nafasi ya kumsikiliza, ndani ya nusu saa tu utajua kama ni chenga au zimo
  7. N

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kijana Kitanzania kumvisha pete Mtoto wa Rais wa Kenya,Charlene Ruto

    Huyo dogo mwenyewe yuko vizuri, miakili kama yote ashakula hadi tuzo za kimataifa.
  8. N

    JamiiForums Tanzania Usiseme huna kazi PATA kazi hii hapa.

    Hacha!!!!
  9. N

    JamiiForums Tanzania G . Pop kutoka planet 2000 ANAHITA msaada

    Allah amsimamie, Inshaallah atapona
  10. N

    JamiiForums Tanzania Watu wamejimaliza sana kumpa pesa ya hongera Zuchu, sasa je mkiwa na majambo yenu mnatarajia naye atafanya hivyo?

    Dogo paten ana sababu ya kufanya alichokifanya, wengine sijui
  11. N

    JamiiForums Tanzania Boksi la ajabu ladaiwa kutelekezwa barabarani Mwenge, Dar es salaam

    Polisi wamekuja na difenda kisa hilo sanduku wakati angekuja poti mmoja tu na bodaboda, wamesema wamekuta mguu wa kitanda mmoja.
  12. N

    JamiiForums Tanzania Jirani yangu anafuga nguruwe na ni mchafu wa kuzaliwa

    Shekilango zile chemba za choo ni shida, halafu miaka nenda hali iko hivyo hivyo na N.H.C wala hawajali.
  13. N

    JamiiForums Tanzania Je Simba, Yanga na TFF zilishawahi kuwa na viongozi toka vyama pinzan wa kisiasa?

    Duuuh! Dhambi mkuu kusema walokole ni wanafiki.
  14. N

    JamiiForums Tanzania Comebacks 5 za kibabe zaidi kwenye soka la kisasa kuwahi kutokea

    PSG vs BARCA haitakiwi kuwepo, refa alikuwa mwehu, hakutaka mpira uishe hadi matokeo anayoyata yawe yamekuwa.
  15. N

    JamiiForums Tanzania Comebacks 5 za kibabe zaidi kwenye soka la kisasa kuwahi kutokea

    Hii iliniuma, siwapendi man u, nimeangalia dk90 zote nikiwa nimesimama halafu man anakuwa bingwa, niliumia sana
Back
Top Bottom