Recent content by nguvu

  1. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, ukiibiwa au kupoteza simu yako, mamlaka za usalama zinaweza kukusaidia kuipata kwa wakati muafaka au ni kuhesabu hasara tu?

    Wazee wa ngawira watafurahi ukiwapa hiyo deal, watakupiga hela hadi ukome, mitandao ya simu kamwe hawatakupa ushirikiano wowote. Wao ushirikiano wanautoa polisi.
  2. N

    JamiiForums Tanzania Huyu Johnthebaptist Yuko Wapi?

    Yupo kidamali anapiga ulansi.
  3. N

    JamiiForums Tanzania Tunakusaidia Kupata Property Inayokufaa!

    Sawa,
  4. N

    JamiiForums Tanzania Mliowahi kuishi Ulaya: How does it feel kutembea Mjini bila kero za Bajaji, Bodaboda na Machinga?

    Bodaboda za bukubuku zimetulemaza mno.
  5. N

    JamiiForums Tanzania KERO Garage bubu zimezagaa sana Dar. Kwanini mamlaka hazipangi maeneo maalum?

    Hata ikiwa karibu iwe kwa utaratibu, sio chini ya mti, sehemu za wazi n.k
  6. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Makonda amteua Manara kuwa Msemaji wa Timu za Taifa

    Taifa ni moja ila lina timu nyingi, Karia asiyempenda kaja.
  7. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Makonda amteua Manara kuwa Msemaji wa Timu za Taifa

    Atakuwa upande aliopo sasahivi.
  8. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serengeti Boys yatinga Fainali ya AFCONU17 2026, baada ya kumuondoa Misri kwa mikwaju ya penati

    Ngumu kumeza, wangekuja waarabu laini laini sio hawa mazombi wenzetu
  9. N

    JamiiForums Tanzania KERO Garage bubu zimezagaa sana Dar. Kwanini mamlaka hazipangi maeneo maalum?

    Unamiliki gari halafu hujui njia za kutumia kuifikisha gereji ikiharibika?
  10. N

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Msigwa aliondoka CHADEMA kwa kukosa Cheo na anaondoka CCM kwa kukosa Cheo na anarudi CHADEMA kusaka Cheo

    Hahahahaaa! Endelea hivyo hivyo, watakupa ukatibu kata.
  11. N

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Msigwa aliondoka CHADEMA kwa kukosa Cheo na anaondoka CCM kwa kukosa Cheo na anarudi CHADEMA kusaka Cheo

    Wewe ndio mpumbavu kabisa, badala ya kuamini kipawa chako ndio kitakufanya ufanikiwe unaamini katika UCHAWA.
Back
Top Bottom