Recent content by ngunna

  1. N

    Manabii wasifumbiwe macho wanapotukana mamlaka

    Mungu akaufanya moyo wa farao kuwa mgumu
  2. N

    Askofu Zakaria Kakobe: Tanzania siyo nchi ya chama kimoja! Amtaka Rais Magufuli atubu

    Tumepata wawili sasa hongera kakobe na munga
  3. N

    Moshi yaelemewa na wingi wa wageni, bidhaa zaadimika madukani

    Anayewachukia wa kaskazini ale malimao
  4. N

    Sakata la Airtel na TTCL: TTCL wasema wana ushahidi wa kutosha kuthibitisha kuwa kampuni ya Airtel ni mali yao 100%

    Hapa wa buku saba watapita kimya,huku wakisema zidumu fikra za Mwenyekiti wa ccm milele
  5. N

    Sakata la Airtel na TTCL: TTCL wasema wana ushahidi wa kutosha kuthibitisha kuwa kampuni ya Airtel ni mali yao 100%

    Hapo ndio mwisho wa kiki soon tutarudi bandarini kuokota magari au airport kuokota hela,maana ukifukua kaburi la mwenzako na lako litafukuriwa
  6. N

    Ee mwenye enzi Mungu nikumbuke tena katika upweke wangu

    Du kila mwaka unanunua porte
  7. N

    Adui wa TTCL ni Issa Omari aliyekuwa Mkurugenzi wa Kwanza CELTEL

    Hii iacheni hivyo hivyo mkifukua sana mtakutana na mzee wa ukweli na uwazi,mtamfanya nini,tusubiri tu kuokota vitu bandarini
  8. N

    Zari vs Hamisa mambo ni hivii instagram

    Tutajenga viwanda kweli maana kutwa umbea tu
  9. N

    Maneno ya Hussein Bashe baada ya Askofu Niwemugizi kuhojiwa na uhamiaji

    Akija mtu yeyote kutoka lumumba unitag nimelala
  10. N

    Kununua Wanasiasa mmojammoja huku Wananchi wanataabika ni ujinga

    Mb zenyewe mnazotumia humu mnapewa lumumba
  11. N

    Kununua Wanasiasa mmojammoja huku Wananchi wanataabika ni ujinga

    Huyu ndio mwenye IQ kubwa pale lumumba, asante zitto kweli nchi imekabidhiwa washamba
  12. N

    Mke wangu hajui kuzungusha kiuno kabisa kunako sita kwa sita sijui nimfukuze

    Hajui kukata kiuno ukimlinganisha na nani?
Back
Top Bottom