Kwa kufuatilia nimegundua kuwa Adui wa watanzania katika kuuza hisa za TTCL ni bwana issa Omari aliyekuwa CEO wa kwanza wa CELTEL na baadaye akawa CEO wa president delivery Beural (PDB/BRN) baada ya kuteuliwa na kikwete. Wazee wetu wakina Warioba licha yakujua sheria wakabariki inchi yetu kuibiwa. Tunawalaani wote waliochangia nchi yetu kuendelea kuliwa badala ya kusiadia nchi kusonga..Soma Gazeti la Mtanzania na the gurdian kuona ukweli wa mambo.