Sakata la Airtel na TTCL: TTCL wasema wana ushahidi wa kutosha kuthibitisha kuwa kampuni ya Airtel ni mali yao 100%

Gov to retake Bharti shares in Tanzania Telecommunications Company Limited

By Staff | The Citizen, TanzaniaJanuary 21, 2016



Mtwara. The government is in final stages of repossessing Bharti Airtel’s 35 per cent stake in the Tanzania Telecommunications Company Limited (TTCL), a cabinet minister has said.

Infrastructure, Transport and Communications minister Makame Mbarawa said here on Monday that the decision, to be implemented before the end of this month, will mean that the government will own TTCL by 100 per cent.

“We have heard a call from Tanzanians and we are responding accordingly and the partnership between TTCL and Bharti Airtel will finally come to an end before the end of this month,” Prof Mbarawa said here on Monday. He was speaking during his tour of the infrastructure for the National Information and Communication Technology (ICT) backbone.

Bharti Airtel bought a 35 per cent stake in TTCL in the 2001 but the partnership has not been without challenges, forcing the two partnerships to go back to the drawing board and agree that the government will have to pay some Sh14.9 billion to repossess the 35 per cent shares.

The government, he said, will use the money, sourced through proceeds from the National ICT backbone, to pay for Bharti Airtel’s shares.

A TTCL board chairman, Prof Tolly Mbwette said the government’s reacquisition of Bharti Airtel shares means that the state-owned firm’s new three-year business transformation programme will be implemented with new vigour and speed.

The firm’s chief executive officer, Dr Kamugisha Kazaura, said TTCL is currently focusing on improving its services by using funds sourced from domestic financiers and from other business partners.

Just last week, TTCL and the TIB Corporate Bank Limited signed a memorandum of understanding that will see the two state-owned institutions cooperate in sourcing a $329 million (about Sh707 billion) loan to tweak the communication firm’s operations. Key on TTCL’s agenda is the building of relevant infrastructure to accommodate its recently-launched high-speed wireless data communication for mobile phones and data terminals, under its Fourth Generation- Long-Term Evolution (4G-LTE) project.
 
MAZWAZWA tu ndiyo wanamuelewa huyu jizi, muongo, mtoa rushwa na fisadi. Kwani wakati uharamia huu ukiendelea miaka nenda miaka rudi ndani ya Serikali si na yeye alikuwa part and parcel ya Serikali!? Alitoa hata mguno? Jibu unalijua na yeye alikuwa busy kuwafisadi Watanzania. Na ufisadi huo anauendeleza hadi sasa kwa kuchota trillions hazina bila idhini ya Bunge.

Wanaanza kumuelewa Magufuli
 
Ndiyo na mama Ana mkapa ndiyo aliwaleta Wachina wa Huwaei huko TTCL huku Amri toka juu ikimwamuru Mwandosya kusaini mikataba yote ya Uwekezaji TTCL.
Hapo ndio mwisho wa kiki soon tutarudi bandarini kuokota magari au airport kuokota hela,maana ukifukua kaburi la mwenzako na lako litafukuriwa
 
Hutampenda wala kumwamini Siku ukigundua kuwa ununuzi wa ndege za Bombadia kuna Ufisadi bei harisi ya ndege ipo chini ni Wajanja akina Bashite na wenzao walipiga 10% pia kuna bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa, ni mzalendo kwenye Dili ambazo hakupata mgao, kwenye uuzaji nyumba za serikali alijiuzia nyumba kibao kinyume cha sheria akagawa kwa mdogo wake na hawala ambao hawakuwa watumishi wa Umma, kwenye kivuko cha 1978 kibovu alikinunua bilion 8 lakini kivuko kipya cha Baresa kilinunuliwa kwa bilion 5 tu,
Hapa wa buku saba watapita kimya,huku wakisema zidumu fikra za Mwenyekiti wa ccm milele
 
Huyo Mtanzania asiyejulikana aliyekuwa mwenyekiti wa bodi ni nani?

Kama alikuwa anahold shares si alikuwa na share certificate?

Register of members ya ttcl iko wapi? Jina lake si lipo humo mtusomee tumjue?

Sasa kama mnasema airtel ni mali ya ttcl, ina maana ttcl lazima ni majority shareholder wa airtel, At least kwa 51%.

Uzuri wa masuala ya corporates hayanaga uzushi kama ya makinikia na vichwa vya treni.

Sizonje hapa kakupuruka na hawa vibaraka wake wanalijua hilo ila basi tu hawana jinsi ya kumshauri kashalinyea tayari.
 
JPM kaletwa na Mungu kulikomboa Taifa kutoka mikononi mwa wezi
Anatumikia mizimu na waganga wa kienyeji. Ndio wanaompa masharti na maagizo ya kutawala, kuteka, na kuua watu.

Asipotekeleza kibao kitamgeukia ndo maana ana "frustations",nafsi inamsuta.
 
TTCL au viongizi wa nchi ni watu wa ajabu sana. TTCL leo anatuambia anao ushahidi wa kutosha kama airtel ni kampuni yao. Lakini inabidi ikumbukwe hili jambo siyo la leo au jana, ni jambo la tangu 2013 huko wanafanya majadiliano tu. Kama ushahidi upo kwanini mpaka leo bado wanashindana kuhusu kampuni ni ya nani?? Kama kweli wanayo nia ya dhati, kinawashinda nin kupeleka kesi mahakamani
 
ukieelewa ndoa kati ya ttcl na airtel,celtel, zain basi wewe una phd kutoka sayari nyingine.
 
maisha hayajawahi kuwa fair asee ukiona sokwe ndo ana deal na ngedere ujue kuna sehemu kapigwa sasa anataka kujifidia.
Siamini kwenye maigizo hata siku moja.
 
Mi naumia tu kuona shirika mbwembwe zote zile mahela yote yale wameshindwa wanaanza kudai airtel ni yao kesho watasema tanesco na ikulu yao pia
 
MAZWAZWA tu ndiyo wanamuelewa huyu jizi, muongo, mtoa rushwa na fisadi. Kwani wakati uharamia huu ukiendelea miaka nenda miaka rudi ndani ya Serikali si na yeye alikuwa part and parcel ya Serikali!? Alitoa hata mguno? Jibu unalijua na yeye alikuwa busy kuwafisadi Watanzania. Na ufisadi huo anauendeleza hadi sasa kwa kuchota trillions hazina bila idhini ya Bunge.

tulia sindano ikuingie vizuri. acha machepele ya kurukuruka. dawa ikiwaingia vizuri mtamuelewa tu.
 
Ila wakiichukua tu.... ina KUFA kama hawatabadirika...
1. Do you know why makampuni binafsi ya simu walihama kutuma backbone site za TTCL..??

2. Kwa Airtel magari ya site engineers tunayaona mitaani kama vitendea kazi.. kwa TTCL magari wanayo mabosi

3. Kwa TTCL vitendea kazi kama computers wanazo mabosi

4. Wangapi humu mnajua code ya TTCL kuwa ni 0732? Kama hamjui mnadhani why?
5. Market share ya TTCL ni 1% .... do you know why?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom