Recent content by ngunde11

  1. ngunde11

    Tanzania yazuia ndege za Kenya Airways kutua nchini. Ni baada ya Kenya kutoruhusu ndege za Tanzania kubeba mizigo Kenya

    Wanajeshi wetu hawajapigana muda mrefu chokochoko kama hizi ni muda muafaka wa kutest mitambo
  2. ngunde11

    DSTV muda sio mrefu tutawaacha mazima

    Mkuu naomba ujuzi unafanyaje malipo kwenye smart tv au inabidi iwe na line yake ili itumike kununua bando au unanunua kwa line ya simu yako
  3. ngunde11

    RC Chalamila: Mimi kuchomoa mashine na kufanya vurugu ni dakika mbili tu, na hakuna yeyote wa kufanya chochote!

    Wewe jamaa lazima utakuwa ni mtoto wa watu yaani unaliwa jicho
  4. ngunde11

    DP World ikiingia Bandarini, CCM itaondokea nchi kavu Tanganyika!

    Wewe mama inawezekana umeshalegezwa sana nut za huko nyuma ndio maana akili zako muda wote unawaza kujamba
  5. ngunde11

    Nasoma albadiri kwa kila anaetuibia watanzania

    Mkuu utakuwa eneo gani ili tuje kukuunga mkono hata kwa hela ya ubani
  6. ngunde11

    CHADEMA Lake Zone imepotezwa na Uteuzi wa Dkt. Doto Biteko

    Kwanza tutahoji uraia wake kwani inasemekana Dotto wa dp world anatoka nchi jirani huko
  7. ngunde11

    Kwanini 'military takeovers' zimerudi kwa kasi Afrika?

    Fikiri kama ingelikuwq ni niger watu wanauza bandari wanauza ngorongoro na wamasai wote wanauzwa unafikiri jeshi linaweza kukaa kimya tu
  8. ngunde11

    Rais tuoneshe cheti ulichokipata baada ya kuhitimu Elimu ya Katiba Zanzibar, mpaka wakaandika katiba yao mpya

    Mjinga wa kwanza ni wewe Sir Elton John Robert kama mtu unakubali kutumia jina la shoga unaweza kuwa sawa kweli wewe
  9. ngunde11

    Mtoto wa Rais ya Jamhuri ya Afrika ya Kati akimpiga mzungu kibao

    Ni bora bange ipitishwe na iwe lazima kwa afrika yote, kama mvuta bange mmoja anaweza kujitambua na kumchapa makofi mzungu si ni bora watanganyika tuanze kuvuta bange ili tuwachape dp world na ma ccm kwa ujumla
  10. ngunde11

    Wimbi la urejeshaji kadi Za CCM lapamba moto!!

    Hapa sio kuikataa ccm kama chama haitasaidia chochote hapa ni kuwakataa wanaccm wote na kuwatenga kwa kila namna
  11. ngunde11

    Watanzania tutaendelea kusubiri mpaka lini Bunge likitunga Sheria batili na kuuchomekea ubatili huo ndani ya Katiba yetu? Tufanye nini?

    Hii hoja sio yako ni ya Mtikila wewe hauna uwezo huo wa kuchambua mambo haya
  12. ngunde11

    Waziri Biteko ongea yote kuhusu ufisadi wa kutisha uliokuta hapo wizara ya nishati lasivyo utaubeba wewe huo uchafu

    Wewe dada mbona unakuwa na kiherehere sana au ndio unatafuta bwana
Back
Top Bottom