Recent content by NgumuKumesa

  1. NgumuKumesa

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    kahakiki na cha uchungaji
  2. NgumuKumesa

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    huyu si mchungaji kabisa jamani. yeye si alisema ameshamsamehe Makonda? Je, hivi vijembe vya nini tena! Naomba huyu jamaa achunguzwe uhalali wa Profession yake uenda akawa ni mchekeshaji tu!
  3. NgumuKumesa

    Muendelezo Vita Dawa ya Kulevya: Masogange apelekwa kwa Mkemia Mkuu

    Walikuwa wap hakina nani? Alikamatwa lini?
  4. NgumuKumesa

    ARUSHA: Askari polisi ashikiliwa kwa kujihusisha na Dawa za Kulevya

    Eleza maana ya madawa ya kulevya kwa mujibu wa wewe!
  5. NgumuKumesa

    Mama wa uhamiaji acharuka

    Aisee kweli kabsa kuna shule ina walimu wa ugand na hawana vibali vya kuishi Tz
  6. NgumuKumesa

    Manji atakiwa kuripoti Ofisi za Mamlaka ya Uhamiaji. Pasi 126 za kusafiria zakamatwa ofisini kwake

    Umeshawahi kutoa taarifa ofisi ya uhamiaji? Naww jipu pia
  7. NgumuKumesa

    Tujikumbushe makundi ya wasanii hapa TZ waliobamba na wimbo mmoja kisha wakapotea

    Tupieni kabisa na audio zake ili tuzipakue.
  8. NgumuKumesa

    Magufuli shujaa, ataka 68 wa madawa wanyongwe! Kikwete alikuwa dhaifu mno, aliomba wasinyongwe!

    Nini maana ya kuwa na hatia? Jitafakari kwanza kabla ya kuandika!
  9. NgumuKumesa

    Shule na dini zilivyonidanganya, maswali 5 muhimu ya kujiuliza

    watu wa mtaani ni wepi hao? Na wewe unaongea pumba kabisa
  10. NgumuKumesa

    Toka Bungeni: Mali mpya za Makonda zatajwa, atakiwa aseme pesa anatoa wapi

    hivi hakuna cha kujadiri mpaka wamjadiri Makonda? hivi tukiwatukana watalalamika wanadharauliwa wakati wao wenyewe ndo wanaanza kujidharaulisha. Tangu tar 8 wabunge wanapga mipasho tu bungeni na posho zinaingia daily. mm kama mwananchi nalaani kinachoendelea bungeni kwa sasa kwani ni uhuni mtupu
Back
Top Bottom