Shule na dini zilivyonidanganya, maswali 5 muhimu ya kujiuliza

py thon

JF-Expert Member
Sep 11, 2016
2,471
4,424
1.Mafuta yametokana na mabaki ya wanyama na mazao ambayo yalifukiwa ardhini. Miaka million iliyopita wanyama wadogo na mimea iliyokufa na kufukiwa chini ya bahari na kufunikwa na matope, baadae matope yakabadilika na kuwa mawe na hayo mawe yakawa yanawapa pressure na ujoto mimea na nyama/mifupa hizo na hivyo oil chafu ikapatikana na pia inasemwa dinasours waliokufa na kufukiwa ardhini mifupa yao baada ya kupata joto kali ikabadilika na ktengeneza mafuta. Hii nadharia naikataa hakika shule ilinidanganya.

2.Kuku walitokana na ancestor wao ambaye ni Tyrannosaurus. Tyrannosaurus ni aina ya Dinasours wenye mabawa na wenye uwezo wa kupaa na wapo wasio na mabawa na hawana uwezo wa kupaa.Tyrannosaurus baadaye wali evolve na mpaka wakawa wadogo na wakapatikana kuku na bata, kuku na bata wa nyumbani zamani walikuwa ni Dinasours.

tyrannosaurus_1.jpg


3.Binaadamu ame share wazazi ''ancestor''na sokwe na nyani.sisi na nyani tumetokana na ancestor mmoja ambaye ni Black African Gorilla na binaadamu wa kwanza inaelezwa amepatikana Olduvai George. Swali la kujiuliza kama binaadamu alitokana na huyo Gorilla mweusi mbona huku Africa hapakuwepo na watu weupe, hao Asians, wazungu, waarabu mbona historia inaonyesha hawakuwepo Africa wakati chimbuko la mwanaadamu ni Africa iweje wote wajitenge kule. Migration ilitokea tokea vipi?

Pili kulingana na nadharia ya kuwa mtu wa kwanza alitokana na gorilla mweusi aliyekuwa anapatikana Africa na historia inavyoonyesha hapakuwepo na mtu mweupe je hawa watu weupe walitokana vipi na ukizingatia hakuna uthibitisho wa interbreeding toka lini genes nyeusi ikamzaa mzungu na muarabu?

Swali langu la msingi; hizi genetic za wazungu, waarabu, wachina zilipatikana vipi na ilihali hapakuwepo na interbreeding?

4.Nadharia ya Bing bang inaeleza ya kwamba miaka 13.7 billion iliyopita vitu vyote katika ulimwengu yaliwekwa kwenye sehemu moja baadae pakatokea mlipuko na hivyo vitu vikajitenganisha kidogo kidogo.Nadharia hii nilikaririshwa shuleni na watoto wote shuleni wanafundishwa na kukaririshwa nadharia hii na hata leo hii ukimchukua mwanafuzi na umuulize akuelezee nadharia ya bing bang hakika atakuelezea na kukuchambulia kwa undani kabisa huku akiamini nadharia hiyo ni ya ukweli...sheria mbali mbali za kifizikia zimeonyesha kasoro na uongo wa Bing bang Theory.

1.Nadharia ya Bing bang inapingana na newton's second law of Thermo dynamics
2.Nadharia ya Bing bang inapingana na newtons first law of Themo dynamic
3.Nadharia ya Bing bang inasema mpasuko wa universe ulikuwa wa haraka kuliko speed ya mwanga jambo ambalo siyo kweli

4.Dunia haina umri wa miaka 14.7 billion na nadharia hii ilisema dunia ni flat jambo ambalo siyo kweli.

5.Katika safina ya Noah tumeelezwa kwenye vitabu vya dini kuwa aliwapandisha wanyama wote na kisha kuwatua mashariki ya Uturuki kwenye mlima wa Ararat .Hivi hawa wanyama aina ya Penguins na Bears ambao wanapatika Antarctica, newzealand, Australia, Florida na wanaishi kwenye mabarafu na hali yao ya miili inastahamili ubaridi ilikuwaje wakakatiza jangwa bila ya chakula wakatembea mpaka wakafika alipo Noah kisha wakapanda kwenye safina. Pia mara baada ya safina kutua mashariki ya Uturuki karibia na Iran na Armenia waliwezaje kusafiri mpaka wakafika Arctarctica, Newzealand, Florida, Australia nk.

penguinss.jpg
 
Neanderthals aina nyingine ya kiumbe kama binadamu ndio chimbuko la weupe wa wenzetu
Walipokuwa wanahama Africa walikutana mashariki ya Kati na kuzaa nao na uzao wa watu weupe ukaanzia hapo
DNA sequence yao inapatikana kwa viwango tofauti kati ya wazungu,waarabu na waasia wengine,lakini kwa sisi waafrika hatuna
Ama Neanderthals walitokea wapi Ni swali lingine,ili mabaki ya mifupa yao imepatikana Ulaya
 
1.Mafuta yametokana na mabaki ya wanyama na mazao ambayo yalifukiwa ardhini.Miaka million iliyopita wanyama wadogo na mimea iliyokufa na kufukiwa chini ya bahari na kufunikwa na matope,baadae matope yakabadilika na kuwa mawe na hayo mawe yakawa yanawapa pressure na ujoto mimea na nyama/mifupa hizo na hivyo oil chafu ikapatikana na pia inasemwa dinasours waliokufa na kufukiwa ardhini mifupa yao baada ya kupata joto kali ikabadilika na ktengeneza mafuta..Hii nadharia naikataa hakika shule ilinidanganya

2.Kuku walitokana na ancestor wao ambaye ni Tyrannosaurus.Tyrannosaurus ni aina ya Dinasours wenye mabawa na wenye uwezo wa kupaa na wapo wasio na mabawa na hawana uwezo wa kupaa.Tyrannosaurus baadaye wali evolve na mpaka wakawa wadogo na wakapatikana kuku na bata.kuku na bata wa nyumbani zamani walikuwa ni Dinasours

View attachment 464008


3.Binaadamu ame share wazazi ''ancestor''na sokwe na nyani.sisi na nyani tumetokana na ancestor mmoja ambaye ni Black African Gorilla na binaadamu wa kwanza inaelezwa amepatikana Olduvai George.swali la kujiuliza kama binaadamu alitokana na huyo Gorilla mweusi mbona huku Africa hapakuwepo na watu weupe,hao asians,wazungu,waarabu mbona historia inaonyesha hawakuwepo Africa wakati chimbuko la mwanaadamu ni Africa iweje wote wajitenge kule.Migration ilitokea tokea vipi ?

pili kulingana na nadharia ya kuwa mtu wa kwanza alitokana na gorilla mweusi aliyekuwa anapatikana Africa na historia inavyoonyesha hapakuwepo na mtu mweupe je hawa watu weupe walitokana vipi na ukizingatia hakuna uthibitisho wa interbreeding toka lini genes nyeusi ikamzaa mzungu na muarabu?

swali langu la msingi hizi genetic za wazungu,waarabu,wachina zilipatikana vipi na ilhali hapakuwepo na interbreeding




4.Nadharia ya Bing bang inaeleza ya kwamba miaka 13.7 billion iliyopita vitu vyote katika ulimwengu yaliwekwa kwenye sehemu moja baadae pakatokea mlipuko na hivyo vitu vikajitenganisha kidogo kidogo.Nadharia hii nilikaririshwa shuleni na watoto wote shuleni wanafundishwa na kukaririshwa nadharia hii na hata leo hii ukimchukua mwanafuzi na umuulize akuelezee nadharia ya bing bang hakika atakuelezea na kukuchambulia kwa undani kabisa huku akiamini nadharia hiyo ni ya ukweli...sheria mbali mbali za kifizikia zimeonyesha kasoro na uongo wa Bing bang Theory.

1.nadharia ya Bing bang inapingana na newton's second law of Thermo dynamics
2.nadharia ya Bing bang inapingana na newtons first law of Themo dynamic
3.Nadharia ya Bing bang inasema mpasuko wa universe ulikuwa wa haraka kuliko speed ya mwanga jambo ambalo siyo kweli

4.dunia haina umri wa miaka 14.7 billion na nadharia hii ilisema dunia ni flat jambo ambalo siyo kweli


5.katika safina ya Noah tumeelezwa kwenye vitabu vya dini kuwa aliwapandisha wanyama wote na kisha kuwatua mashariki ya Uturuki kwenye mlima wa Ararat .Hivi hawa wanyama aina ya Penguins na Bears ambao wanapatika Antarctica, newzealand,Australia,Florida na wanaishi kwenye mabarafu na hali yao ya miili inastahamili ubaridi ilikuwaje wakakatiza jangwa bila ya chakula wakatembea mpaka wakafika alipo Noah kisha wakapanda kwenye safina.Pia mara baada ya safina kutua mashariki ya Uturuki karibia na Iran na Armenia waliwezaje kusafiri mpaka wakafika Arctarctica,Newzealand,Florida,Australia nk


View attachment 464010
Natural v/s SUPERNATURAL controversial.
 
Da! Umeni furahisha sana! Pia nashukuru mungu kuona kumbe kunawatu wanamawazo km yangu!! Tuamke africa kuna kundi maalum lipo kwa ajili ya kuwaaminisha walimwengu waamini kile cha kweli kionekane ni uongo na cha uongo kionekane ni kweli!

Na cha kusikitisha ulimwengu unawaamini kweli hao watu!

Sasa imedhihirika kuwa hata lile tukio la sept 11 osama hausiki bali ni inside job.

Hahaahaa eti binadamu wa kwanza alikuwa nyani? Na adamu je?!!!
 
Na swali jingine:
[Kama Dunia ina miaka 13milioni iliyopita, kwa mujibu wa wikipedia na binadamu aliyeishi miaka mingi iliyopita anaesadikiwa kupatikana mabaki yake Arusha Tanzania]
ni kwa nini hatufundishwi shuleni mambo yalivyokuwa wakati huo katika historia?

Na swali jingine, Huyo/Hao waliogundua kwamba dunia ilikuwepo miaka zaidi ya m13iliyopita, wanatuamishaje hilo kwa kutumia Vigezo vichache tena visivyo katika historia yoyote bali wanaita ugunduzi?
 
1.Mafuta yametokana na mabaki ya wanyama na mazao ambayo yalifukiwa ardhini.Miaka million iliyopita wanyama wadogo na mimea iliyokufa na kufukiwa chini ya bahari na kufunikwa na matope,baadae matope yakabadilika na kuwa mawe na hayo mawe yakawa yanawapa pressure na ujoto mimea na nyama/mifupa hizo na hivyo oil chafu ikapatikana na pia inasemwa dinasours waliokufa na kufukiwa ardhini mifupa yao baada ya kupata joto kali ikabadilika na ktengeneza mafuta..Hii nadharia naikataa hakika shule ilinidanganya

2.Kuku walitokana na ancestor wao ambaye ni Tyrannosaurus.Tyrannosaurus ni aina ya Dinasours wenye mabawa na wenye uwezo wa kupaa na wapo wasio na mabawa na hawana uwezo wa kupaa.Tyrannosaurus baadaye wali evolve na mpaka wakawa wadogo na wakapatikana kuku na bata.kuku na bata wa nyumbani zamani walikuwa ni Dinasours

View attachment 464008

3.Binaadamu ame share wazazi ''ancestor''na sokwe na nyani.sisi na nyani tumetokana na ancestor mmoja ambaye ni Black African Gorilla na binaadamu wa kwanza inaelezwa amepatikana Olduvai George.swali la kujiuliza kama binaadamu alitokana na huyo Gorilla mweusi mbona huku Africa hapakuwepo na watu weupe,hao asians,wazungu,waarabu mbona historia inaonyesha hawakuwepo Africa wakati chimbuko la mwanaadamu ni Africa iweje wote wajitenge kule.Migration ilitokea tokea vipi ?

pili kulingana na nadharia ya kuwa mtu wa kwanza alitokana na gorilla mweusi aliyekuwa anapatikana Africa na historia inavyoonyesha hapakuwepo na mtu mweupe je hawa watu weupe walitokana vipi na ukizingatia hakuna uthibitisho wa interbreeding toka lini genes nyeusi ikamzaa mzungu na muarabu?

swali langu la msingi hizi genetic za wazungu,waarabu,wachina zilipatikana vipi na ilhali hapakuwepo na interbreeding




4.Nadharia ya Bing bang inaeleza ya kwamba miaka 13.7 billion iliyopita vitu vyote katika ulimwengu yaliwekwa kwenye sehemu moja baadae pakatokea mlipuko na hivyo vitu vikajitenganisha kidogo kidogo.Nadharia hii nilikaririshwa shuleni na watoto wote shuleni wanafundishwa na kukaririshwa nadharia hii na hata leo hii ukimchukua mwanafuzi na umuulize akuelezee nadharia ya bing bang hakika atakuelezea na kukuchambulia kwa undani kabisa huku akiamini nadharia hiyo ni ya ukweli...sheria mbali mbali za kifizikia zimeonyesha kasoro na uongo wa Bing bang Theory.

1.nadharia ya Bing bang inapingana na newton's second law of Thermo dynamics
2.nadharia ya Bing bang inapingana na newtons first law of Themo dynamic
3.Nadharia ya Bing bang inasema mpasuko wa universe ulikuwa wa haraka kuliko speed ya mwanga jambo ambalo siyo kweli

4.dunia haina umri wa miaka 14.7 billion na nadharia hii ilisema dunia ni flat jambo ambalo siyo kweli


5.katika safina ya Noah tumeelezwa kwenye vitabu vya dini kuwa aliwapandisha wanyama wote na kisha kuwatua mashariki ya Uturuki kwenye mlima wa Ararat .Hivi hawa wanyama aina ya Penguins na Bears ambao wanapatika Antarctica, newzealand,Australia,Florida na wanaishi kwenye mabarafu na hali yao ya miili inastahamili ubaridi ilikuwaje wakakatiza jangwa bila ya chakula wakatembea mpaka wakafika alipo Noah kisha wakapanda kwenye safina.Pia mara baada ya safina kutua mashariki ya Uturuki karibia na Iran na Armenia waliwezaje kusafiri mpaka wakafika Arctarctica,Newzealand,Florida,Australia nk


View attachment 464010

1. Unaposema unaikataa, sababu zako ni zipi? au kwa nini usielezee kwa nini unakataa na utoe sababu za msingi?

2. Wewe inaonekana haukusoma na kuelewa theory ya evolution, unazungumzia theory ya evolution kama watu wa mtaani wanaosemaga "mbona nyani siku hizi hawabadiliki kuwa binadamu?" soma vizuri uelewe ndio uje na sababu zako za msingi.

3. Kama 2 tu, haujaelewa theory ya evolution.

4. Big bang theory inahusu zaidi evolution ya ulimwengu na sio formation kama ungesoma vizuri ukaelewa ungekuja na point, naomba utuelezee first and second laws of thermodynamics then useme kwa nini unadhani big bang theory inapingana na hizi laws. Usiwe unasoma tu kwenye conspirancy theories' websites then ukaja kupost bila kuonesha wewe umeelewa vipi hizi theories na jinsi gani big bang inapinga nazo. Kumbuka "upungufu wako wa taaluma kwenye kitu fulani, haukupi wewe haki ya kusema kitu chochote kile bila kufikiria". Where does big bang theory say the earth is flat?

5. Hakuna sehemu inayosema dunia ina miaka 14billion, dunia ina miaka bilion 4 kama sikosei, Ulimwengu ndio una miaka 14bilion

6. Bado unauliza maswali kama watu wa mtaani. Kwanza dini sio science so hauwezi kusema ina ukweli wowote, hiyo safina/Noah inawezekana kabisa havikuwahi kutokea so sioni sababu ya kusema chochote hapo, hata hivyo hata kama tuki assume ilitokea, nani amekuambia kulikua na mabara wakati wa Noah? unakubaliana na theory kwamba dunia zamani ilikua ni moja (pangea), then ikatokea continental drift? unakubaliana na ukweli kwamba wakati wa Noah ni zamani sana (karibia kabisa na wakati dunia ilipoumbwa na Mungu? again i am assuming that dini inasema ukweli na kwamba Mungu yupo na aliumba dunia), sasa kwa nini unauliza maswali kama mtu asiyetaka kutumia akili while you claim to be a learned person based on your thread?

Kwa kumalizia: Tofauti na dini, science haina kitu ambacho ni absolute truth. Dini inaamini inachosema ni kweli na hakiwezi kupingika (ndio maana wanasayansi wengu hawaiamini na watu wengi wanaoiamini ni kama wanakua na uwezo mdogo wa kufikiria kwa sababu ukifikiria sana utaanza kuona kuna vitu havi make sense), In science, you can always ask and find other laws as long as you can prove them scientifically. So kama wewe ni mtu mwenye akili na unadhani kuna laws za science hazina ukweli, unakaribishwa kufanya experiment zako na kuleta alternative theory zako as long as unaweza kuzisimamia na kuziprove.
 
1. Unaposema unaikataa, sababu zako ni zipi? au kwa nini usielezee kwa nini unakataa na utoe sababu za msingi?

2. Wewe inaonekana haukusoma na kuelewa theory ya evolution, unazungumzia theory ya evolution kama watu wa mtaani wanaosemaga "mbona nyani siku hizi hawabadiliki kuwa binadamu?" soma vizuri uelewe ndio uje na sababu zako za msingi.

3. Kama 2 tu, haujaelewa theory ya evolution.

4. Big bang theory inahusu zaidi evolution ya ulimwengu na sio formation kama ungesoma vizuri ukaelewa ungekuja na point, naomba utuelezee first and second laws of thermodynamics then useme kwa nini unadhani big bang theory inapingana na hizi laws. Usiwe unasoma tu kwenye conspirancy theories' websites then ukaja kupost bila kuonesha wewe umeelewa vipi hizi theories na jinsi gani big bang inapinga nazo. Kumbuka "upungufu wako wa taaluma kwenye kitu fulani, haukupi wewe haki ya kusema kitu chochote kile bila kufikiria". Where does big bang theory say the earth is flat?

5. Hakuna sehemu inayosema dunia ina miaka 14billion, dunia ina miaka bilion 4 kama sikosei, Ulimwengu ndio una miaka 14bilion

6. Bado unauliza maswali kama watu wa mtaani. Kwanza dini sio science so hauwezi kusema ina ukweli wowote, hiyo safina/Noah inawezekana kabisa havikuwahi kutokea so sioni sababu ya kusema chochote hapo, hata hivyo hata kama tuki assume ilitokea, nani amekuambia kulikua na mabara wakati wa Noah? unakubaliana na theory kwamba dunia zamani ilikua ni moja (pangea), then ikatokea continental drift? unakubaliana na ukweli kwamba wakati wa Noah ni zamani sana (karibia kabisa na wakati dunia ilipoumbwa na Mungu? again i am assuming that dini inasema ukweli na kwamba Mungu yupo na aliumba dunia), sasa kwa nini unauliza maswali kama mtu asiyetaka kutumia akili while you claim to be a learned person based on your thread?

Kwa kumalizia: Tofauti na dini, science haina kitu ambacho ni absolute truth. Dini inaamini inachosema ni kweli na hakiwezi kupingika (ndio maana wanasayansi wengu hawaiamini na watu wengi wanaoiamini ni kama wanakua na uwezo mdogo wa kufikiria kwa sababu ukifikiria sana utaanza kuona kuna vitu havi make sense), In science, you can always ask and find other laws as long as you can prove them scientifically. So kama wewe ni mtu mwenye akili na unadhani kuna laws za science hazina ukweli, unakaribishwa kufanya experiment zako na kuleta alternative theory zako as long as unaweza kuzisimamia na kuziprove.
watu wa mtaani ni wepi hao?
Na wewe unaongea pumba kabisa
 
Billie marcs
kulingana na Biblia watu weusi wametokana na mtoto wa tatu wa Nuhu aitwaye Hamu!
Watoto wengine ni Seth(mzazi wa Asia wote) na Yafethi(mzazi wa Wazungu wote)!
Hamu alizaa watoto wanne:
a)Kushi aliyemzaa Nimrodi na mwishowe the whole Black Race
b)Kanani ambaye mtoto wa mwisho ambaye ndiye aliyelaaniwa na Nuhu!
Kwa hiyo Nuhu alimlaani mjukuu wake badala ya mwanae Hamu!
Hii ilitokea baada ya Hamu kumfuma na kumcheka Babake bada ya kumkuta akiwa uchi hemani,akiwa amelewa baada ya kunywa mvinyo wa zabibu!
 
1. Unaposema unaikataa, sababu zako ni zipi? au kwa nini usielezee kwa nini unakataa na utoe sababu za msingi?

2. Wewe inaonekana haukusoma na kuelewa theory ya evolution, unazungumzia theory ya evolution kama watu wa mtaani wanaosemaga "mbona nyani siku hizi hawabadiliki kuwa binadamu?" soma vizuri uelewe ndio uje na sababu zako za msingi.

3. Kama 2 tu, haujaelewa theory ya evolution.

4. Big bang theory inahusu zaidi evolution ya ulimwengu na sio formation kama ungesoma vizuri ukaelewa ungekuja na point, naomba utuelezee first and second laws of thermodynamics then useme kwa nini unadhani big bang theory inapingana na hizi laws. Usiwe unasoma tu kwenye conspirancy theories' websites then ukaja kupost bila kuonesha wewe umeelewa vipi hizi theories na jinsi gani big bang inapinga nazo. Kumbuka "upungufu wako wa taaluma kwenye kitu fulani, haukupi wewe haki ya kusema kitu chochote kile bila kufikiria". Where does big bang theory say the earth is flat?

5. Hakuna sehemu inayosema dunia ina miaka 14billion, dunia ina miaka bilion 4 kama sikosei, Ulimwengu ndio una miaka 14bilion

6. Bado unauliza maswali kama watu wa mtaani. Kwanza dini sio science so hauwezi kusema ina ukweli wowote, hiyo safina/Noah inawezekana kabisa havikuwahi kutokea so sioni sababu ya kusema chochote hapo, hata hivyo hata kama tuki assume ilitokea, nani amekuambia kulikua na mabara wakati wa Noah? unakubaliana na theory kwamba dunia zamani ilikua ni moja (pangea), then ikatokea continental drift? unakubaliana na ukweli kwamba wakati wa Noah ni zamani sana (karibia kabisa na wakati dunia ilipoumbwa na Mungu? again i am assuming that dini inasema ukweli na kwamba Mungu yupo na aliumba dunia), sasa kwa nini unauliza maswali kama mtu asiyetaka kutumia akili while you claim to be a learned person based on your thread?

Kwa kumalizia: Tofauti na dini, science haina kitu ambacho ni absolute truth. Dini inaamini inachosema ni kweli na hakiwezi kupingika (ndio maana wanasayansi wengu hawaiamini na watu wengi wanaoiamini ni kama wanakua na uwezo mdogo wa kufikiria kwa sababu ukifikiria sana utaanza kuona kuna vitu havi make sense), In science, you can always ask and find other laws as long as you can prove them scientifically. So kama wewe ni mtu mwenye akili na unadhani kuna laws za science hazina ukweli, unakaribishwa kufanya experiment zako na kuleta alternative theory zako as long as unaweza kuzisimamia na kuziprove.
lakini mkuu umempingi mleta hoja umedai kwamba yawezekana wakat nuhu hapakuwa na continet drift yawezekana issue ni kwamba hao wanyama wanapatikana nchi zenye winter je walisafiri vp kutoka turkey hadi huko newzealand etc

Turkey ni jangwa waliogeleaje ktk jangwa? Mbali na kusema dunia yawezekana ilikuwa moja sawa hatuko ktk continet tupo ktk jangwa na winter walihama vip mkuu huoni hapo kuna kitu mkuu

Biblia inasema baada ya maji kupungua safina ilitua ktk milima ya Ararat turkey [/kisha wanyama wote wakasambaa tuambie walihama vp? MkuuURL]
 
Back
Top Bottom