Recent content by Ngova

  1. N

    Kuna haja gani kuzuia wapinzani wasifanye siasa nchini mwao??

    Mnaposema watu wafanye kazi hakuna siasa, kuna wengine kazi yao ni siasa wao wanazuiliwa inakuwaje hapo
  2. N

    Tundu Lissu atetea ubunge wake kwa hoja 9 kisheria

    Afadhari imejibiwa na u-fake wake
  3. N

    Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

    Imran Kumbe Alifariki kwa kupigwa risasi na watu wanao hisiwa ni majambazi
  4. N

    Sababu za kurejesha uhusiano na Israel hazina mantiki

    We don't have to be "the slaves of history"
  5. N

    Sababu za kurejesha uhusiano na Israel hazina mantiki

    Kama hoja ni mauaji ya Israel dhidi ya Palestine,mbona wanawake Na watoto wanaendelea kuuawa Iraq,syria ,Yemen, Sudan kusini nk. Mbona tuko kimya? Au kwakua anayeua si Mu-israeli? Tuache unafik!
  6. N

    Hakuna malipo ya NSSF, PPF hadi umri wa kustaafu ufike!

    Mbona naona ni ya tangu 2012
  7. N

    Kamanda Sirro: Tutamfungulia Zitto kesi ya uchochezi

    Sasa kama amepotosha kwa hoja kuhusu miamala,kwanini alikoolewa kwa hoja?
  8. N

    Uhusiano uliopo kati ya wasukuma na wanyamwezi

    Waliitwa wanyamwezi Na jirani zao wagogo,walimaanisha watu wanaotoka upande wa mwezi
  9. N

    Saudia yazuia Wairani kwenda Meka kuhiji kwa mwaka huu!

    Mkuu walishastarabika,no kuchnjana any more
  10. N

    Saudia yazuia Wairani kwenda Meka kuhiji kwa mwaka huu!

    Kisa ni mambo ya u-Sunni Na u-Shia,ubaguzi hadi mwenye dini!!!?
  11. N

    BURUNDI: Colonel Rufyiri killed outside his home

    What goes around comes around
Back
Top Bottom