Wewe ni mfanyabiashara?!
Au ndiyo watu wa vitengo mko kwenye viyoyozi mnakula mna nenepa kwa jasho la myonge
Ungekuwa umeshawahi kufanya biashara usingesema hizi mambo
Wameanzia wapi kujenga?!
Hadi leo barabara haipitiki Gari za Geita Kahama zinalazimika kuzunguka Nyarugusu za kwenda mikoa ya kati kaskazini na dar hadi zinalazimika kuzunguka mwanza
Achana na matamshi ya kisiasa
Wapi Geita-Kahama hii barabara haina wa kuisemea ndiyo barabara mbovu kuliko barabara zote Tanzania kwa misimu yote!
Hizo barabara zilizosainiwa naona ni kanda ya kati, kaskazini, na Nyanda za juu
Nyie wa lake zone mtasubiri sana.
Tanzania yangu siijui tunakwama wapi, sisi kila kitu ni wa mwisho mwisho tu!
Tumeng'ang'ana na tozo wakati kuna fursa kibao za kuingiza kodi huku wananchi wakipata kiburudisho 😀.
TTCL ndio mtandao pekee ambao hauna huduma ya 4G ndani ya baadhi ya makao makuu ya mikoa
Hizi hasara zinatoka wapi kama huduma shindani hawana!
Au ndio wale wakurungezi wanajigawia tu mishahara!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.