Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,026
- 15,316
Naona hawa jamaa Azam TV wameongeza Channel mpya kwenye series yao ya sports HD na kuleta AZAM sports 3 HD
Hii ni good move kwenye Tasnia ya TV hapa Tanzania. Sasa tuna channel 5 za HD. Kwa maana hiyo Azam ataweza rusha hata Match 5 za HD
TV nyingine kama Clouds, TVE na Wasafi sijui wanasubiri nini kuondoka kwenye mifumo ya kizamani na kuahamia HD maana wao kupata contents za HD ni rahisi hasa ukizingatia maudhui yao mengi ni burudani.
Una nini cha kusema?
Hii ni good move kwenye Tasnia ya TV hapa Tanzania. Sasa tuna channel 5 za HD. Kwa maana hiyo Azam ataweza rusha hata Match 5 za HD
TV nyingine kama Clouds, TVE na Wasafi sijui wanasubiri nini kuondoka kwenye mifumo ya kizamani na kuahamia HD maana wao kupata contents za HD ni rahisi hasa ukizingatia maudhui yao mengi ni burudani.
Una nini cha kusema?