Recent content by Ngopyoro city

  1. N

    Naomba kufundishwa Kiswahili chenye maandishi ya Kiarabu

    Daah labda sijaelewa yani kiswahili chenye herufi za kiarabu ? Sasa Hapo kinakuaje kiswahili tena?
  2. N

    Visa nilivyoshuhudia kwa ndugu yangu Mtaalam wa Tiba za Asili

    We jamaa kaanzishe uzi wako unatupa tabu kusoma yote hayo
  3. N

    Visa nilivyoshuhudia kwa ndugu yangu Mtaalam wa Tiba za Asili

    Kwani mkuu we unaumia nini? Mtu akiomba hela ukitaka unatoa usipotaka usitoe we kinakuuma nini? Story ikihamia telegram wewe unakosa nini? Kuna kipato chako kimepungua? Umepunguza siku za kuiishi? Sasa we shida yako nini? Mimi story ikija poa nasoma vizuri tu wakiamua kwenda telegram waache...
  4. N

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Lampard atuachie my wetu
  5. N

    Visa nilivyoshuhudia kwa ndugu yangu Mtaalam wa Tiba za Asili

    Huyu jamaa anabishaga kishamba kweli Sasa kajisahau kaingia king mwenyewe[emoji16][emoji16]
  6. N

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Bro umesimulia kistarabu Sana
  7. N

    Visa nilivyoshuhudia kwa ndugu yangu Mtaalam wa Tiba za Asili

    Hizi hadithi tulisimuliwa utotoni huko acha porojo
  8. N

    Wenyeji wa Kahama naomba kufahamu kuhusu soko la vitunguu kwa muuzaji wa jumla lipoje

    Shukrani kiongozi Mungu akubariki Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
  9. N

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hatuna timu Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
  10. N

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Fresh mkui ingawa chai Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
  11. N

    Visa nilivyoshuhudia kwa ndugu yangu Mtaalam wa Tiba za Asili

    Nyie ndio manaweza kufanya jamaa aanze kukusanya pesa Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
  12. N

    Wenyeji wa Kahama naomba kufahamu kuhusu soko la vitunguu kwa muuzaji wa jumla lipoje

    Habari wakuu poleni na majukumu ya kujenga Taifa Mana wazee tunapambana paka inafikia muda unasema sijui niende kigoma kucheki nyota kwanza[emoji16] By the way nilikua na mission za kununua samaki na kwenda kuuza pale makambako samaki nawatoa bonde la mto kilombero sehemu moja inaitwa gundu...
  13. N

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Woyooo lete kisa mzeebaba Aluta kontinyua Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
  14. N

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mkuu kama hautajari mzee jo bado yuko hai nikamcheki? Niko maeneo ya ifakara hapa nikachukie mpunga
Back
Top Bottom