Hakuna shida ya mwanachama kuhama kutoka chama kimoja kwend kingne lkn suala la uzalendo siyo suala la vyama bali ni la mtu binafsi, lkn pia kwa maslahi mapana ya taifa ili tuweze kupata maendeleo tunahitaji kuwa na upinzani thabiti kuweza kuchochea watawala kufanya vyema .
Moja ya nyenzo ya...
Sina hakika kwamba Dr slaa ni mzalendo, kwani sioni tofauti yake na prof. I abmupil...taifa imara ni lenye upinzani imara kwakuwa wao ndy huchochea maendeleo
Et nakaa kabisa kuanglia bongo movie hahahaa ! Jamaa wanaogopa ushindani ! Ukifanya kazi nzuri huwezi kuogopa hizi movie za nje ; tatizo bongo movie mnataka mfanye kazi ya laki sita mpate milioni ishirini! Mnajidanganya hzo movie mtazizua na bado zipo online , ushauri wa bure ongezeni ubunifu na...
Hawa madaktari na maprofesa kunahaja ya kuchunguzwa akili zao kwani baadhi yao wana mambo ya ajabu ajabu @#$ wengine wanajiuzulu pasipo shinikizo halaf wadai eti wao wanacham halali xaxa watu kama hawa kunahaja ya kuwaita maprofesa kweli@#$team ujinga$#*
Wakati fulani tuache ujinga twaweza tumia barabara znatosha tunataka mijisifa ya kuwa na vizuri wakati wagonjwa wanakosa dawa halafu kwa ujinga tunasaport anyway @ #$team ujinga $#&/
US ni kakorofi xana haka ka bwana lakkni kwa kutafuta vijisababu hakajambo ....at KOREA Wanatengeneza silaha za nyuklia kwani wao hawatengenezi ...tucjidanganye US wanataka wawe wanatengeneza pekeyao na sio wengine but wajaribu vamia huko Korea tutabaki observars ya nani mbabe....
Huyo marekani hana lolote vietnam wamarekani walikufa wengi sana lakni katika data zinazotangazwa znaficha uhalisia ......by the way yeye aendee tuu kitakacho mpata mimi cjui....
Ndugu yangu umejitahidi sana kupangilia mawazo yako lakini katika fact ya msingi ya matumizi ya lugha ya kiingereza nchini tanzania na kwingineko umechemka , kwani umeshindwa kwakua kiingereza ni rugha ya kujifunzia na kufundishia tofauti na nchi ulizo zihusisha hapo kwani wao hujifunza na...
Wanazungumzia udini kisiasa tuu nadhani ingekuwa mbaya kama ingekuwa muslim and christian lakin ule sio udin ni udhehebu
Vile vile tusiwe bias kwwnye uchambuz wa mambo kwan wengne wanazungumza kisukuma kwwnye kampeni sasa sijui kama huo sio ukabila lakn kwa wale wana saikolojia ni kwamba alikua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.