Recent content by ngongeki

  1. N

    Kuna athari kwa mikoa kukosa uwakilishi kwenye Baraza la Mawaziri?

    Waziri ni kiongozi wa nchi na si mkoa, tuache sera za ukanda
  2. N

    Mjadala: 'Sitawaaangusha' ya Rais Magufuli

    Mpaka sasa hajatuangusha
  3. N

    Profesa Muhongo aiagiza TANESCO ishushe bei ya umeme

    Anaonyesha uzalendo wa hali ya juu
  4. N

    Matokeo Kidato cha sita: Lengo limetimia!

    BRN at work
  5. N

    ukweli kuhusu ufaulu kidato cha sita kuwa juu na 0 kupungua

    Kama viwango ni tofauti kihivyo hatuwezi kusema ufaulu umeimarika
  6. N

    PPFT: Askofu Kakobe usitumie mwavuli wa dini kuhubiri chuki na uchochezi

    Sasa hivi siasa kila mahali hata kwenye dini siasa inapamba kasi. Too bad
  7. N

    Serikali Yabadilisha Viwango vya Ufaulu kwa Kidato cha Sita 2014: DIV I point 3-7

    Hivi huko siyo kuwachanganya vijana wetu kweli. Siku zote walikuwa wapi kutoa mwongozo mpaka wanasubiri mitihani imemalizika ndiyo mwongozo unatolewa? Duuh, yaani wamekumbuka shuka wakati kumekucha!!! si mchezo kabisa.
  8. N

    Serikali Yabadilisha Viwango vya Ufaulu kwa Kidato cha Sita 2014, DIV I point 3-7

    Hili suala la upangaji viwango vya ufaulu linafanyiwa usanii sana au hiyo ndiyo BRN?
  9. N

    Mfumo wa gpa kutumika kuchakata matokeo ya kidato cha nne 2014 na kidato cha sita 2015

    Ha ha ha hahaha!!!! kama habari ndiyo hiyo basi elimu kwishey, kila kukicha ni kupanga alama tu badaala ya kuangalia namna ya kuboresha miundombinu shuleni. Mmmmmh, mpaka kawambwa amalize muda wake wa uwaziri 2015 atakuwa ameifanyia KWELI sana elimu yetu kama alivyofanyia KWELI shirika la reli.
  10. N

    Serikali yatangaza viwango vipya vya alama za ufaulu elimu ya sekondari

    Wakuu viwango vya Kidato cha Sita vitakuwaje?
  11. N

    Alama mpya za ufaulu zapingwa

    Mkuu uliona mbali, hili jambo bado lina sintofahamu nyingi naipongeza Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii kwa kuingilia kati watanzania tuambiwe lengo hasa la kushusha hivyo viwango ni nini?
  12. N

    Madudu ya upangaji mpya wa Alama za mitihani CSEE!

    Haya madudu lazima yatawang'oa Kawambwa na Mulugo
Back
Top Bottom