mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,773
- 2,183
Kuna dhana inayoenezwa kwamba mikoa iliyokosa uwakilishi katika Baraza la Mawaziri (BLM) itaathirika kwa njia moja au nyingine. Dhana hii ni potofu na haina ukweli wowote.
Waziri anapochaguliwa anakuwa na jukumu la kuongoza wizara yake katika kuelta maendeleo katika nchi nzima. Fursa hiyo haimpi kufanya lolote analotaka katika mkoa wake.
Mathlani kama ni suala la kujenga barabara kuna vigezo mbalimbali vinavyotumika kufikia uamuzzi barabara fulani ijengwe wapi na si utashi wa waziri husika. Kama kuna "leeway" ya waziri kupendela mkoa wake itakuwa ni ndogo sana.
Waziri anapochaguliwa anakuwa na jukumu la kuongoza wizara yake katika kuelta maendeleo katika nchi nzima. Fursa hiyo haimpi kufanya lolote analotaka katika mkoa wake.
Mathlani kama ni suala la kujenga barabara kuna vigezo mbalimbali vinavyotumika kufikia uamuzzi barabara fulani ijengwe wapi na si utashi wa waziri husika. Kama kuna "leeway" ya waziri kupendela mkoa wake itakuwa ni ndogo sana.