Recent content by NGOMEKONGWE2021

  1. N

    Looking for a beautiful Rwandese woman for marriage in Tanzania

    Kuna wa mozambique kibao hawana makazi sasa sababu ya vurugu...cheki nao pia
  2. N

    PreGE2025 Baadhi ya Wajumbe Mkutano Mkuu CHADEMA wamkataa Tundu Lissu

    Sawa...lakini Mbowe apumzike sasa.....tunamtaka Lissu
  3. N

    Je, LBL sio Matapeli kama Matapeli wengine?

    wanakusogeza karibu ili uingize watu wengine wawapige wote
  4. N

    WANAUME HIVI MMEJUAJE LAKINI?

    Yahani wewe ni bwege kabisa nenda kajifunze kuandika kwanza
  5. N

    Shilole akamilisha usajili mpya. Ajitokeza na mpenzi wake

    Amepewa kazi ya kusukuma huo mzigo mpaka lishangazi lichoke wakati dogo anategemea kiepe yai..ndiyo maana anahofu kama ataweza kutimiza hayo majukumu mapya
  6. N

    Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    15m lakini amechukulia mikopo ya kutosha...mwisho wa mwezi anaondoka na 3m
  7. N

    Simba nunue wachezaji wenye ubora ili mpunguze kujieleza

    Kiuna jamaa wa Makolo hapa kijiweni tangu asubuhi anaweweseka na kutoa mapovu kuhusu mechi ya jana ..hakuna anayemjibu manake atatumalizia nguvu zetu
  8. N

    Hii Simba jamani kuna siku mtu atakula bao 10, nyie ngojeni tu

    Makolo bhana...ila msipoangalia muda si mrefu nafasi yenu ya upinzani vs Yanga itachukuliwa na lambalamba
  9. N

    Kitu gani cha ovyo unakipenda sana

    Tafsiri ya Ujinga ni kuuliza kama ulivyo uliza
  10. N

    Navukaje hapa wakuu

    CHAI MAHARAGE
Back
Top Bottom