Recent content by Ng'ombe Ulaya

  1. Ng'ombe Ulaya

    Mfaranyaki Secondary itakuwa tishio kitaaluma

    Kitaaluma Mfaranyaki bado wana chechemea,nidhamu ya wanafunzi nayo ina walakini,walimu wanajitahidi kufundisha ila watoto ni majanga,walimu wao wengi pia ni masharobaro sijui kwasababu ipo mjini? Mfano jamaa mmoja anapiga gym anaitwa Kasambala,na dogo mmoja mwenye mwili mdogo (sijui...
  2. Ng'ombe Ulaya

    Ugonjwa sugu wa kinadada uwe na gari zuri, hautongozi wanakuja tu

    Hahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,hapo kwenye red umetisha Mr President
  3. Ng'ombe Ulaya

    "Peoples Power"

    Post yako nimeielewa sana kwasababu ni post nyepesi isiyo nihitaji kuumiza akili kuielewa,kwasababu ulicho kiandika ni mashudu,ki ujumla You have poor thinking capacity,kama umehitimu shule please rudi tu darasani because umetoka kapa
  4. Ng'ombe Ulaya

    "Peoples Power"

    Sidhani kama ulicho andika ndio ulicho kimaanisha,umegundua umeandika pumba ndio maana unajitahidi kujisafisha na kujidanganya kuwa unatuelewesha Critical thinkers Kwahiyo kasi ya maendeleo ya Viongozi wako CCM ina fanana na yako pamoja na wanachama wao? Hata kwenye suala la elimu na fikra...
  5. Ng'ombe Ulaya

    "Peoples Power"

    Rudi shule,au nenda fb,usi dhalilishe JF kwa kupost utumbo wako humu
  6. Ng'ombe Ulaya

    "Peoples Power"

    Duuuuuuuuuuuuuuuuuhhhhh,kweli hauna akili,kwahiyo unataka siku viongozi wa CHADEMA wakiwa ziarani nje ya nchi waende na raia wote? You must think like a grown man,siyo unakuwa na fikra fupi kama za kichanga,shame upon u
  7. Ng'ombe Ulaya

    Form II & Form IV-2013

    Hakuna cha BRN wala SRN, division zero zitakuwa kama za mwaka jana,so waache viongozi wetu wajipe moyo na BRN zao na kuwa sahau walimu ambao ndio washika dau wakubwa
  8. Ng'ombe Ulaya

    Nini kinasababisha mwanamke kupata breed bila kikomo?

    Sijakuelewa hapo kwenye red,naomba ufafanuzi
  9. Ng'ombe Ulaya

    Mabomu yarindima Karatu kisa Rose Mhando

    Ushamba wao uko wap hapo? Nani mshamba kati yao na wewe unae andika post za kishamba kishamba? Peleka ushamba wako huko,hauna jipya zaidi ya ushamba ushamba ulio kujaa,Mshamba wewe
  10. Ng'ombe Ulaya

    Picha: Amani Golugwa amsabahi Balozi Kallaghe

    Baba yako ndio mchoma mahindi kule Iringa,kazi ya wazazi wako siyo unawapakazia wenzio
  11. Ng'ombe Ulaya

    Nani anagharamia uzururaji na utalii wa Dr Slaa Marekani? ili iweje na kwa ajili ya nini?

    Majuzi ndio mdudu gani? Be specific na siyo kukurupuka with no reasons, Viongozi wa CHADEMA wanafanya kazi kwa umakini wa hali ya juu,kama unabisha kaulize kule kwenu Songea moto wa CHADEMA ukoje.
  12. Ng'ombe Ulaya

    Nani anagharamia uzururaji na utalii wa Dr Slaa Marekani? ili iweje na kwa ajili ya nini?

    Kwisha habari yako,hivi una elimu gani wewe? Unajua unachokiandika kweli? Embu peleka akili zako za Class 7 huko kwenye majukwaa ya kitoto kama Facebook.
  13. Ng'ombe Ulaya

    Nani anagharamia uzururaji na utalii wa Dr Slaa Marekani? ili iweje na kwa ajili ya nini?

    Peleka uongo wako huko,eti wana dhurura,those guys are seriously working,siyo kama viongozi wa CCM wanao chumia matumbo yao na familia zao
Back
Top Bottom