Kamjingijingi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2009
- 806
- 129
Rose Mhando ni mtumishi wa Mungu. Hawezi kuingia mitini bila sababu. Vuteni subira atakuja siku nyingine
Kazidisha kilevi huyo .ndo zake
Rose Mhando ni mtumishi wa Mungu. Hawezi kuingia mitini bila sababu. Vuteni subira atakuja siku nyingine
kweli kabisa, halafu huyu dada Rose bangi kabisa ndio tabia yake ya kupokea hela na kuingia mitini
Rose mhando wa kipindi kile sio wa sasa, ukijua mambo yake ya ndani utachoka. ki ukweli sikilizeni nyimbo zake mengine mwachieni Mungu. kuna albamu yake mpya iko njiani kuna wimbo unaitwa KUNG' UTA. hili la kutokufika kwenye tamasha wala sishangai.kuimba nyimbo za injili ni tofauti na kuishi kama biblia inavyotaka, leo hii hata dimond plutnum anaweza akaimba nyimbo ya gospel kali na akabamba mbaya,ila kuishi hayo maisha ya Kiimani/ kiroho ni tofauti na uimbaji. kuna mmoja mwimbaji mmoja wa gospel maarufu anakaa tabata ni mchapa bia mzuri tu. na kuna mmoja wa kiume anakula kijiti cha bob,na hawezi ingia studio au stajini bila kijiti. msishangae ila ndio hali halisi ktk tasnia ya wasanii wa nyimbo za injili,ushaambiwa wasaanii,kama wa bongo fleva wanavyokula ngada.
shetani jana na leo hajafa bado yupi kazini
Umeambiwa hela zimeshaingizwa kwenye akaunti ya Rose, wewe unalia na wachungaji! Hapo lawama zote kwa RoseHawa wachungaji washakua wezi.....
Dini tena! Hiyo ni burudani sawa na fm academia.
Kuchukua pesa za watu bila kufanya kazi....kivue !hicho kiatu .... kivue!
Rose mhando wa kipindi kile sio wa sasa, ukijua mambo yake ya ndani utachoka. ki ukweli sikilizeni nyimbo zake mengine mwachieni Mungu. kuna albamu yake mpya iko njiani kuna wimbo unaitwa KUNG' UTA. hili la kutokufika kwenye tamasha wala sishangai.kuimba nyimbo za injili ni tofauti na kuishi kama biblia inavyotaka, leo hii hata dimond plutnum anaweza akaimba nyimbo ya gospel kali na akabamba mbaya,ila kuishi hayo maisha ya Kiimani/ kiroho ni tofauti na uimbaji. kuna mmoja mwimbaji mmoja wa gospel maarufu anakaa tabata ni mchapa bia mzuri tu. na kuna mmoja wa kiume anakula kijiti cha bob,na hawezi ingia studio au stajini bila kijiti. msishangae ila ndio hali halisi ktk tasnia ya wasanii wa nyimbo za injili,ushaambiwa wasaanii,kama wa bongo fleva wanavyokula ngada.
shetani jana na leo hajafa bado yupi kazini
Kuchukua pesa za watu bila kufanya kazi....kivue !
Karatu ushamba umezidi. ndio maana Dr. Slaa yuko vile alivyo...
Karatu ushamba umezidi. ndio maana Dr. Slaa yuko vile alivyo...