Ng'ombe Ulaya
Member
- Aug 23, 2013
- 31
- 2
Sidhani kama ulicho andika ndio ulicho kimaanisha,umegundua umeandika pumba ndio maana unajitahidi kujisafisha na kujidanganya kuwa unatuelewesha Critical thinkerswewe kweli ni ng'ombe ulaya..unashindwa kuelewa japo post ndogo tu kama hii mistari kadhaa tu, sijui ulifaulu vp maradasa uliyosoma..ngoj anikueleweshe, post hii ilikua na lengo la kuuliza wana CDM kua mbona kasi ya maendeleo binafsi ya viongozi wao haiendani na ukuaji wa wananchi wanaowawakilisha?? nadhani umenielewa..haya sasa changia ukiwa umenielewa
Kwahiyo kasi ya maendeleo ya Viongozi wako CCM ina fanana na yako pamoja na wanachama wao? Hata kwenye suala la elimu na fikra wanakushinda japo na wao wana fikra finyu za kujineemesha wao na familia zao badala ya kuwatumikia wananchi