Recent content by ngola ya kola

  1. N

    JamiiForums Tanzania Jerry Muro: Tundu Lissu njoo uone

    Hivi tunaelewa nihni maana faida?Barric ni wajanja,wangeweza kusema watatoa hata 80% ya faida kwani wanajua wanauwezo wa kuweka mahesabu yao kuonyesha kupata hasara kila mwaka
  2. N

    JamiiForums Tanzania Tume ya Uchaguzi yatoa Ufafanuzi kuhusu wabunge wa CUF walioteuliwa

    Vibweka vyote hivi wanavyofanyiwa cuf ni maandalizi ya uchaguzi 2020.Maalim Seif ameitesa sana ccm kwenye chaguzi Zanzibar.Hivyo.dola linataka kumhalalisha kwa nguvu lipumba ili aje amkate maalim asiwe mgombea urais znz ili ccm pressure iwashuke
  3. N

    JamiiForums Tanzania Katiba inakupa uhuru wa kukosoa/kutoa maoni haikupi uhuru wa kutoa lugha za kuudhi na kuchonganisha

    Hapa naona kunatatizo la ufahamu wa lugha nchi kujitawala haimanishi kujikomboa.Ukombozi una eneo pana sana Ukombozi umo hata kwenye familia iwapo familia inakabiliwa na tatizo Fulani na ikaweza kutatua tatizo hilo basi itakuwa imejikomboa ktk tatizo hilo. Hata nchi zilizopata Uhuru na...
  4. N

    JamiiForums Tanzania Katiba inakupa uhuru wa kukosoa/kutoa maoni haikupi uhuru wa kutoa lugha za kuudhi na kuchonganisha

    Kila MTU anaujinga Fulani hivyo ujinga so tusi
  5. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jubilee reacts as NASA insiders say Tanzania tallying centre complete

    Kwa mwari kunaliwa na kwa kungwi kunaliwa tungoje wetu 2020
  6. N

    JamiiForums Tanzania Ni kweli waliouawa Mwanza walitoka Kibiti?

    Kama ni kweli wametoka kibiti basis wana mtandao mkubwa sana! Silaha walizo tumia walifikazo vipi Mwanza toka kibiti au huko mwanza kuna hazina yao? Kama jibu no ndio hivi hawatakuwepo na sehemu nyingine Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
  7. N

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kuku WanaChechemea Mguu Mmoja.

    Niunge kwenye hill group 0767363662
  8. N

    JamiiForums Tanzania Siku za Hussein Bashe ndani ya CCM zinahesabika!

    Haya ni mawazo duni ksbisa! Bashe haikandii ccm bali anaisaidia inaonekana wewe ni miongoni mwa wana ccm wanaodhani wako sahihi kila wakati na wasiotaka kusahihishwa
  9. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Gazeti za Kenya zimeandika kuhusu waziri wa Tz aliyefutwa na kufurushwa kwa bastola

    Usalama wa kazi kwa watumishi wa serikali hivi sasa ni sawa na wanaofanyakazi kwa wahindi au wachina
  10. N

    JamiiForums Tanzania Makosa ya kitaalamu Oparesheni Nape

    Mnadhani kwanini Kitenge alisikika akimwambia askari mwenye silaha kwamba unaharibu?Hapa hakuna mahusiano kweli?
  11. N

    JamiiForums Tanzania Huu ni umafia dhidi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar

    Kwahiyo unamaanisha hata askari maalum waliomsindikiza walikuwa wa hao drug dealers!JIONGEZE!
Back
Top Bottom