Recent content by ngokuro

  1. ngokuro

    Muuzaji wa duka la dawa anatakiwa

    60,000/= hiyo ndiyo elf 60 eeeh[emoji848]
  2. ngokuro

    Ulinzi wa Rais: Nini athari ya picha zinazopigwa na wananchi?

    Hakuna wa kukuzuia kufanya nn?
  3. ngokuro

    Ulinzi wa Rais: Nini athari ya picha zinazopigwa na wananchi?

    Ubalozi ni eneo mimi nauliza tukio Kuna athari gani endapo 'raia' atachukua picha ktk mkutano aliopo Rais?
  4. ngokuro

    Ulinzi wa Rais: Nini athari ya picha zinazopigwa na wananchi?

    Unazungumzia sehemu nyeti na eneo hilo halihami, Rais anafanya mkutano kwa muda kisha anaondoka eneo hilo ila anapokuwa eneo hilo huruhusiwi kuchukua picha Kuna athari gani?!
  5. ngokuro

    BMW 320i 2006 Black milioni 5

    Hii ni bei limited au inaongeleka?
  6. ngokuro

    Ulinzi wa Rais: Nini athari ya picha zinazopigwa na wananchi?

    Upi ni mtazamo wako chief? Kwann 'raia' hukatazwa kuchukua picha maeneo aliyopo no 1?
  7. ngokuro

    Ulinzi wa Rais: Nini athari ya picha zinazopigwa na wananchi?

    'Nimetanabaisha' chief rudia kusoma pharagraph ya kwanza!
  8. ngokuro

    Ulinzi wa Rais: Nini athari ya picha zinazopigwa na wananchi?

    Kwa baadhi ya ziara za Mhe. Raisi wa JMT nilizoshuhudia hususan nilizokuwepo eneo la tukio, nimeona wanausalama katika misafara hiyo wakikataza Raia kuchukua picha mnato au mjongeo. Aidha endapo afisa usalama atakuona ukiwa umeshapiga picha atakushurutisha ufute pocha hiyo ktk simu yako au...
  9. ngokuro

    Nataka kufahamu pesa inayoweza tumia kampuni kubwa kutangaza bidhaa zake

    ...Yale mabango ya barabarani hapo awali yalikuwa yanatozwa na halmashauri ya mji/manispaa/Jiji. (Sina uhakika ikiwa tozo hizo bado zinatozwa na local Government). Ikiwa bado zinatozwa na local Government maana yake kila Halmashauri itakuwa na kiwango chake kwa mujibu ya sheria ndogo ndogo...
  10. ngokuro

    Siku yangu iliharibiwa na jambo ambalo mpaka leo nimelikosea ufumbuzi

    Wengi wao nguvu zipo mdomoni! Sasa inakuwa amekuudhi sana hasira ina kujaa karibu kupasuka., unapojaribu kujituliza anakujaza na maneno ya shombo! 'Kama we mwanaume kweli nipige'. Dah!!
  11. ngokuro

    Msaada wandugu: Jinsi ya ku-bold maneno humu na WhatsApp

    [Sure] Sent using Jamii Forums mobile app
  12. ngokuro

    Coronavirus: Safari zote za Hijja zapigwa marufuku kwa muda Saudi Arabia

    uliwahi kutengeneza mtu akafanana na wewe pia ukampa na pumzi ya ya uhai? kama hujaweza wewe nani uliwahi kumwona amefanikiwa kufanya hvyo? huwezi na hayupo kati yetu wa kufanya hivyo je aliyetufanya tuwe tulivyo ni nani? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. ngokuro

    Coronavirus: Safari zote za Hijja zapigwa marufuku kwa muda Saudi Arabia

    hujui kuwa Mungu yupo hivyo unajua aliyepo ni nani? je ni hiari yako wewe kupumua? Sent using Jamii Forums mobile app
  14. ngokuro

    Wana Iringa

    wakutafute wapo yan? Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom