Haiwezekani kuwa na matajiri nchi nzima au masikini nchi nzima!
Hata kukiwa na matajiri nchi nzima wanazidiana! Aliye na kidogo ni masikini kwa aliye na kidogo and vis versa!
Amani na utulivu vikitawala kwa muda mrefu watu hujisahau na hiyo kumwamini kila mmoja! Hata walizi wetu mida ya usiku huwabidi wasinzie badala ya kukaa macho usiku kucha! Wizi huo ni taarifu tu kwa walinzi wetu popote walipo na hasa wa UDSM kuwa wasibweteke/wakeshe kwani hawajui siku wala saa!!!
Watu wanadroo pesa toka mabenki walikohifazi vijisenti vyao ili kuvipeleka deci kwa lengo la kupate riba kubwa zaidi! Kwani mabenki wanatoa riba kidogo sana! Nani kawashitua BoT, polisi, au serikali na vyombo vyake? Si hayo mabenki wanaonyang'anywa wateja na deci?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.