Recent content by ngivingivi

  1. N

    Genius

    Akili kubwa
  2. N

    Siku 16 nafanya mapenzi mfululizo na ni Siku ya 8 sijafika kileleni kabisa

    Au Kuna dawa ulishawahi kutumia labda huko siku za nyuma? Maana wanawake wawili washindwe kukutosheleza sijui lkn. Ila kama ni kweli basi Kuna tatizo
  3. N

    Siku 16 nafanya mapenzi mfululizo na ni Siku ya 8 sijafika kileleni kabisa

    Pole sana ndio nasikia kwa mara ya kwanza hali hiyo, Ila nimetamani hiyo hali niwe nayo Mimi maana opposite yake ndio tatizo kubwa linalosumbua wanaume wengi
  4. N

    Kama hujalielewa hili Fumbo Takatifu la Godbless Lema jipige Kofi na jiambie tu Wewe ni Zuzu Mkomavu duniani

    Chadema nashindwa kuwaelewa Nimemsikiliza Lisu Leo na kusoma comments za wanachadema wengi baada ya Zito na Raisi wa Jamuhuri kuongea Jana, Ila sijawaelewa Chadema, hivi mnachotaka ni kitu gani? Sababu mpaka sasa Mbowe yuko ndani nyinyi mko kwenu na wengine wako Ulaya wanakula maisha na kula...
  5. N

    Tanzania tumetuma ujumbe IS wasije wakajaribu kutuchezea

    Mbona wanajua vuzuri tu, kwani kibiti si walikuwa haohao wako wapi saa hizi? Mziki wanaujua sio kwa kuhadithiwa Bali kwa kushuhudia phisically kudadadeki.
  6. N

    Dar Es salaam watu wanalalamika kuugua mafua makali, isije kua ni kirusi kipya cha Omicron?

    Basi kishafeli maana mbona Cha kawaida sana, hii ndio Tanzania inayoamini katika Mungu Baba Muumba wa Mbingu na Nchi na vitu vyote vinavyoonekana na visivyoonekana, tunasubiri vijavyo na tutavuka.
  7. N

    Waziri wa Madini Dotto Biteko ulisubiri ifike tarehe 17 Machi, 2021 ndiyo uiseme hii Kauli yako iliyojaa 'Unafiki' mwingi? Tumewachokeni sasa!!

    Mbona hamna hoja ya msingi zaidi ya kulalamika kizandiki au kawachomolea betri nini, acheni unafiki semeni mapungufu yake, nyie wote ndio walewale achaneni kabisa na Hayati Magufuli wetu na timu yetu.
  8. N

    Nisamehewe kwa kusapoti kufukuzwa kwa vijana JKT

    Kama wameweza kujiorganize kwa idadi kubwa kiasi kile kugoma wakiwa hawana silaha, vipi wangekuwa na silaha
  9. N

    Nisamehewe kwa kusapoti kufukuzwa kwa vijana JKT

    Vyovyote mtakavyosema kama ni kweli walikuwa na hoja au madai yoyote staili waliyotumia haikubaliki lolote, Mwanajeshi kugoma ni uhaini na ni hatari sana, jeshini utii kwa viongozi ni kitu kikubwa namba moja kuliko chochote.
  10. N

    Je, ni kweli maambukizi ya COVID-19 yamepungua nchini au ni propaganda tu?

    Kwani wewe ndugu zako wangapi wagonjwa mpaka sasa
  11. N

    Hivi lengo la Mungu kuhusu zaka ni nini? Niko kanisani naambiwa nitoe kwenye mshahara 'net'

    hiyo sio dhaka hiyo ni sadaka, dhaka ni asilimia kumi ya kila unachopata ndio neno linavyosema.
  12. N

    Ndani ya wodi.. Hospital ya Apollo India

    mnaodhihaki maladhi ya wengine endeleeni kilema mtu aombi, na kama ni kizuri basi ngoja siku upate upofu ili tukuchangie, nafikiri ni utoto mkikuwa mtaacha
  13. N

    Leo ndo nimeamini BIKO wanapanga washindi wao

    Mmeshajua sasa mnafuatilia ya nini acheni unafiki
Back
Top Bottom