Waziri wa Madini Dotto Biteko ulisubiri ifike tarehe 17 Machi, 2021 ndiyo uiseme hii Kauli yako iliyojaa 'Unafiki' mwingi? Tumewachokeni sasa!!

Halafu imekuwaje hata Confidence yake katika Kuongea aliyokuwa nayo wakati Mjomba wake wa Damu kabisa ( Hayati ) yupo alikuwa nayo ila kwa sasa imepotea, ana Adabu na hata zile Dharau zake za Asili sasa amezipumzisha?

Namshukuru sana Israeli kwa Kutenda.
Kabisa mkuu
 
" Sekta ya Madini nchini haitakiwi iwe au iwekewe Sheria Kali kwa Wadau wake kwani itawakimbiza na hatutopata Faida yoyote kama Serikali na itatuchelewesha kama nchi. Tuongozwe na Busara pamoja na Hekima na siyo Ukali wa Kupitiliza "

Nimemsikia akizungumza haya Leo Asubuhi katika Kipindi cha Nipashe cha Radio One baada ya Waziri huyu Kukutana na Kamati ya Bunge inayohusika na Madini.

JamiiForums ikiwapendeza mje na Jukwaa litakaloitwa WATAMBUE WANASIASA NA VIONGOZI WANAFIKI TANZANIA kwani kiukweli sasa tumechoka na Wengine tumeshaanza hata Kukereka.

Alianza Spika wa Bunge Ndugai kuhusu Bandari ya Bagamoyo ambaye kabla ya tarehe 17 Machi, 2021 alikuwa hataki ijengwe ila baada ya tarehe hii husika leo anasema ijengwe.

Ni huyu huyu Waziri wa Madini Biteko alikuwa akiufurahia huu huu Ukali na Ubabe dhidi ya Wadau wa Madini, ila baada ya tarehe 17 Machi, 2021 leo nae kabadilika na Kujifanya ni Muungwana na anaungana na Sisi Watanzania tunaojitambua ( wenye Akili ) tuliokuwa hatuupendi Utendaji wa Mpwa wake ( sasa Marehemu kama si Hayati ) pia.

Hakuna Kitu nakichukia tu kama Unafiki.
Ila ndugu, mm nakushauri tu shika hamsini zako hao watu unao waita wanafiki wana mkate wao tayari wa leo na kesho kwa kizazi chao kijacho..mle mjengoni hakuna anae mjaali mnyonge
Mfano mdogo tu angaliaa bunge linavyo pwaya swala la malipo ya wastaafu yaan hawana hata cha kuishauri serikali na wala serikal yenyewe haiwa jali hao wastaafu. Kama ingekuwa enzi za mzee wa speed and standard si ajabu ungesikia mwakilishi akileta hoja binafsi ikajadikiwa na wabunge wote wakatoka na azimio la kuitaka serikal ifanye nn ...
 
Mbona hamna hoja ya msingi zaidi ya kulalamika kizandiki au kawachomolea betri nini, acheni unafiki semeni mapungufu yake, nyie wote ndio walewale achaneni kabisa na Hayati Magufuli wetu na timu yetu.
 
Halafu imekuwaje hata Confidence yake katika Kuongea aliyokuwa nayo wakati Mjomba wake wa Damu kabisa ( Hayati ) yupo alikuwa nayo ila kwa sasa imepotea, ana Adabu na hata zile Dharau zake za Asili sasa amezipumzisha?

Namshukuru sana Israeli kwa Kutenda.

Doto Biteko inatamkwa( Bhiteko) kwa kinyarwanda na kirundi yule. Ni mtusi kamili waliohamia geita kutafuta malisho
 
Mbona hamna hoja ya msingi zaidi ya kulalamika kizandiki au kawachomolea betri nini, acheni unafiki semeni mapungufu yake, nyie wote ndio walewale achaneni kabisa na Hayati Magufuli wetu na timu yetu.
Dotto Biteko acha huu Unafiki wako.
 
Wizara ya madini, iwe makini na doto Biteko pamoja kaimu mtendaji mkuu wa tume ya madini ,Eng. Yahya. Ni watu Hayati sana. Baada ya kifo cha mwendazake inatakiwa waondolewe soon . Doto Biteko apelekwe wizara ya elimu Naibu waziri.na waziri wa elimu atumbuliwe pia.
Kwani ni lazima awe waziri??
 
Back
Top Bottom