Okay fine, nimefuatia comments zako kwenye huu uzi nimekuelewa vizuri sana mkuu, kwa hiyo sioni sababu ya kuendelea kubishana na wewe. Kuajili sio sababu ya wewe kuwa mwelewa pia inategemea na Taasisi yako ni ipi.
Yaani unataka warushe taarifa unazotaka wewe,? ITV ni private sector na iko kwaajili ya profit, pia ina waandishi wa habari wanaotambua nini cha kufanya. Kuwatishia kwamba watakua kama magazeti ya CCM, nadhani sio sahihi lusungo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.