Recent content by Nghwani

  1. N

    TANZIA: Mwanasiasa mkongwe, Kingunge Ngombale Mwiru afiwa na mkewe Peras Kingunge

    Mwenyezi Mungu awaongoze katika kipindi hiki kigumu kwenu, familia ya mzee kingunge.
  2. N

    ITV kuweni makini, kutoa habari za upande mmoja kutawapotezea heshima na hadhi yenu

    Okay fine, nimefuatia comments zako kwenye huu uzi nimekuelewa vizuri sana mkuu, kwa hiyo sioni sababu ya kuendelea kubishana na wewe. Kuajili sio sababu ya wewe kuwa mwelewa pia inategemea na Taasisi yako ni ipi.
  3. N

    ITV kuweni makini, kutoa habari za upande mmoja kutawapotezea heshima na hadhi yenu

    Yaani unataka warushe taarifa unazotaka wewe,? ITV ni private sector na iko kwaajili ya profit, pia ina waandishi wa habari wanaotambua nini cha kufanya. Kuwatishia kwamba watakua kama magazeti ya CCM, nadhani sio sahihi lusungo
  4. N

    Salamu za sikukuu kwa Mheshimiwa Rais Magufuli, Mungu alegeze palipo kaza

    Usihofu mkuu britanicca, bahati nzuri mh huwa anasoma sana kwenye mitandao, ushauri wako utamfikia
  5. N

    JONAS SAVIMBI ATAKUMBUKWA KWA MENGI

    Be blessed for little history about Savimbi Sent using Jamii Forums mobile app
  6. N

    Tanzia: Johanes Kanani apata ajali na kufariki

    R. I. P Sent using Jamii Forums mobile app
  7. N

    Tanzania tusiyumbishwe na vyama vya kisiasa

    Hongera sana mkuu kwa kuliona hilo Sent using Jamii Forums mobile app
  8. N

    Fundisho kwa wapenda michepuko

    Nimesoma mpaka mwisho, lakini nilipofika katikati nimejikuta na tetemeka mikono, inafundisho sana
  9. N

    Tulioko Mwanza Tukutane hapa

    Nipo Igoma mwanza
  10. N

    TANZIA: MwanaJF Slim5 amefiwa na baba yake mzazi

    Pole sana, Mwenyezi Mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu kwako
  11. N

    Wapinzani wanachokifanya Kinairudisha Nyuma Tanzania: Acheni siasa za wakina Malcom X

    Uko sahihi sana mkuu, Ila subili vijana wa rufiji waje utaona povu.
Back
Top Bottom