nape na mangula hawana ubavu wa kumwadhibu lowassa labda mangula amesahau kilichomkuta baada ya jk kutwaa madaraka 2005 nahisi amekumbuka kilimo cha nyanya huko iringa.....maana anaingia kwenye bahari yenye kina kirefu ambacho hawezi kuvuka!!!
Tatizo uelewa wa viongozi wa cdm ni mdogo sana katika kuendeleza chama wanachofikiria ni maslahi binafsi!!! Ukanda utawaumiza!!! Mbowe zero brain kabisa asipoondoka uenyekiti wa chama atakiua atarajie maporomoko makubwa 2015
Ndugai ni -------- sijawahi ona, anafanya ubabe bungeni wakati jimboni kwake matatizo yamejaa! Acha ubabe wa kijinga ndugai tumikia nafasi yako kwa kufuata sheria na si kwa kutaka sifa na kufurahisha wana ccm! Nakumbuka siku hiyo ulitoa mfano kuwa mh mrema alishawahi kusema Kuna mawaziri ambao...
PK is a such stupid Guy, iland if out leaders are such patriotic let them don't care about this!! While suggesting this I real know how much we loose on raised road tolls but we shouldn't care about this lets just look on alternatives rather kneeling to this stupidy kagame who was raised in here...
pole sana dada, ILA naomba uendelee kuwa na Moyo wa kijasiri kama ulivyoanza! Samahani ningependa kujua uko wapi? Mimi niko dar naomba pls kama hutaona shida tukutane popote hapa dar kama uko maeneo haya ntakupa namba yangu ya simu
Kigwangalla aliingia bungeni kwa njia ya miujiza na naamini sasa kumbe kulikuwa na maslahi binafsi, kama unaona Tanzania daima wanakuchafua si uwapeleke kwa court?? Acha story za kirikuu dr.
Haya makinda yanafanya hivi kwa sababu gani jamani? Ni nani kawatuma hawa? Watakumbukwa kwa lipi jamani baada ya maisha Yao hapa duniani? Nitalipua bunge siku nikipata bahati kusogea pale!!!
Halafu wabunge WA upinzani wanpoomba mwongozo na kutoa taarifa wanaambiwa wakorofi na kutolewa nje, mtajifurahisha hapo bungeni lakini wananchi tunaona ukweli uko wapi
Huo U dr Wako unamanufaa gani kwa watanzania waliolipa kodi ukaenda shule nchimbi? Kwanini utuamishe uongo kuwa ukweli? Watu wanafikiria kuliko unavyohisi!! Kwa hilohuhitaji hata kwenda shule kujua ukweli WA jambo hilo,,,hiyo coincidence si ya kawaida mh mchumia tumbo!! Ccm hamna jipya tena na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.