Recent content by Ngerengere1

  1. Ngerengere1

    Pale simu yako inaita sebuleni halafu demu wako yupo nayo karibu

    Samaan nichek PM Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Ngerengere1

    Naamini mchumba anatafutwa na anapatikana popote pale hasa unapopaamini kuwa utampata

    salama na amani iwe kwenu LC Kutafuta na kuchagua mwenza si kazi ndogo kama wengi wanavyochukulia kwa kuwa naamini inawezekana ikawa muendelezo wa furaha yangu ambayo nimeihangaikia kwa miaka mingi mpaka kufika hapa nilipo au ikawa kinyume chake yani inawezekana ikawa mwanzo wa mateso, kujuta...
  3. Ngerengere1

    Kuna wanawake usiwadanganye utajuta kukutana nao!

    Lazima umfanye ni haki yake kama mwanamkee[emoji23] [emoji23] [emoji23]...hyo haki kaijua baada ya kuambiwa una njia kuu
  4. Ngerengere1

    Jua tofauti za maumbile kwa wanaume

    Hyo ndio hasara ya kutoka na wengi... ungeridhika na mfup wako ambae pia makalio yake makubwa hayo yote usingeyajua
  5. Ngerengere1

    Si kanifanyia fujo! Sasa naenda kumpa mumewe mambo

    Na mie napangisha njoo upange, kuhusu lifti ninagali ujali nia tuu na mimi unipe unachotaka kumpa baba mwenye nyumba wa sasa Sent from my SM-J110F using JamiiForums mobile app
  6. Ngerengere1

    Kifo cha mende!

    Sawa mkuu KIFO CHA MENDE tumekiona ingawaje sijajua dhumbun lako ni nini...
  7. Ngerengere1

    New Ebitoke

    Kamependeza... Kale kamsemo wanakosema hata ujilembe vp sisi tunatazama WOWOWO naisi kwa hapa sio sahihi kabisa[emoji123][emoji123][emoji123]
  8. Ngerengere1

    UBUNGO, DAR: Bomoabomoa ya Jengo la Wizara ya Maji Ubungo yaanza. Watumishi wahangaika kuokoa mali

    Binafsi nimeipenda sana hii taarfa haijalishi hayo majengo yamejengwa kwa kutumia fedha za nan... sisi nyumba zetu zimebolewa ambazo tumejenga kwa fedha zetu mmoja mmoja na isitoshe ndio yalikuwa makaz yetu sembuse hayo majengo ya umma...
  9. Ngerengere1

    Zawadi ya kudumu ni kubarikiwa wowowo

    Baada ya kutazama WOWOWO unakimbilia bafun kuoga au unasema nae?
  10. Ngerengere1

    Rais Magufuli Asubiriwa Kwa Hamu Nairobi

    Sio watu wa Kenya tuu hata mimi mtanzania nataman aende, kwa ufaham wangu mdogo naamn ataandelea kudumisha ujilan mwema
  11. Ngerengere1

    Naombeni ushauri Jamani Very Serious

    Jiamn mkuu hzo darr unazitengeneza mwenyewe kutokana na hofu yako ya HIV+... Kuwa jasil, mludie muumba wako na jitahidi uoe..
  12. Ngerengere1

    Sijaona msiba toka mikoani kusafirishwa kwenda Dar

    Tatzo la Dar ni gharama kila hatua kuanzia usafilishaji mpaka hatua ya kuzika... ila mikoani gharama ni kusafilisha vingine vinafanywa na majiran
  13. Ngerengere1

    Mkeo vs Mchepuko!

    Mchepuko unafanya kila njia ili tuu umsahau mke... Kwangu mimi michepuko haina nafac kabsa...
Back
Top Bottom