Hiyo ni kifafa mkuu Kuna jamaa alianza hivo hivo alikuwa anajisahau kwenye tv mpka mnazima tv yeye bado anaingalia au kama kutembea yeye anaenda tu mpka ashtuke badae akawa na kifafa
Kuna Mzee alinambia bado wanaishi presidential life Kuna mmoja alienda nchi za wenzetu kuenjoy lakin alikamtwa na kupelakwa ikulu ya inchi hiyo baada ya kugundua ni mtoto wa Mzee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.