kwa ninavyo mjua mzee J4 baba yangu lazima amemzingua abdul mana ukoo wetu wote huwa wanatuambia msimuone baba yenu anabusala sana ni hatari ndio maana kajivisha uislam kama ngao yake ya kujilinda lakini si mtu mzuri imeniuma sana kujua kama dada yangu mumewe ndie alie muua hata ningekua mimi...
alafu me ninavyo mjua hatibu amevulugwa sana maana juzi kanipita msamvu hata salamu hajanipa maana jamaa ni mkarimu sana duu maisha haya jamani.....bonge la story sijui mbele itakuaje ...naongeza big up
beini ni 700000 tsh kwa ajiri ya picha nicheki whatsapp kwakua zinagoma kutuma pic alafu ni mpya na ina kila kitu chake mpya jina nitakutumia whatsapp pamoja na picha nicheki 0715426668
kutundika viatu kwenye nyaya za umeme asili yake ni usa na maana ya kutundika ni sawa na rest in peace huwa vinatundikwa kwa kumbu kumbu ya vijana weusi wanauwawa mitaani iwe kwa ubaguzi na uharifu watu wanachukua viatu vya malehemu na kuvining'iniza kwa heshima tena mtaani kwao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.