Recent content by Ngarenarok

  1. N

    Kwa wale wenye tatizo la kuwa na uume mdogo, dawa imepatikana!!!

    Piga picha kitu chako uweke hapa tuone ulivyorefusha........hahahahaha. Halafu nani kakwambia uume mrefu na mpana ndo dili. Watu wana vitu vidogo lakini ni kifimbo cheza!!
  2. N

    Zitto aanika siri nyeti za Mbowe! Adai hatakufa kama Chacha Wangwe

    Kama kweli James umeandika wewe hii post basi wewe ni ----. Mbowe ajibu shutma. Zitto ni marafiki na Mkono amekiri, na Mbowe mamilioni haya yote yako wapi? Milya utakaa sana ukisubiri ulichokifuata Chadema maadam wewe siyo mchaga una kazi kweli nitakupigia simu baadae nikupe live
  3. N

    Lowassa, Jeshi lakununua halitakufikisha mzee wetu!

    Mimi nimehudhuria na sijapewa nauli. Kama umekosa cha kupost soma za wenzako. Lowassa anapendwa na anapendeka. Hata wewe ungekuja ungemkubali tu! Toa hoja maana yake bado umeandika vihoja tupu
  4. N

    Lowassa afunika dar

    Loyal maana yake nini? We need a critical mind not a loyal mind. Hata kama Mandela na ZZK hawafanani then do not use wrong inferences to justify you bullshit arguments.
  5. N

    Ole Medeye atangaza vita na wachaga asema watang'oka Arusha

    Nakereka sana wabunge wanajadili upumbavu wakati mwananchi wa Nachingwea anabahatisha mlo wa siku moja - ----en politics
  6. N

    CHADEMA Kuchagua Siasa: Plan "A" Vs Plan "B". (Hakikisha unapitia kwa makini.)

    Your analysis is very through and scientific because it let's the results speak out of intentional or accidental actions, Though it ignores the fact that human beings are egoistic in nature and the institution is made up of those very egoistic human beings. In a capitalistic society I do not...
  7. N

    Makahaba wanaswa na wateja wao....wadai wanasaka pesa ya sikukuu...tazama mapicha zaidi ya 12 hapa.

    WEWE ULIEWEKA HIZO PICHA HUMU UNAELEWA SHERIA INAWEZA KULUWEKA MATATANI? Nisamehe lakini I am so sure you are very stupid and lazy in thinking. Huu ni upuuzi na hatuwezi kuvumbia macho. Hata kama wamezini huna haki ya kuwahukumu na pili wana haki zao zinazowalinda. Tutajuaje kama una visa na...
  8. N

    Nimeshindwa kabisa kumwelewa huyu dada

    Mlete humu kwenye JF tukusaidie kumuumbua
  9. N

    Zitto hafai kwa namna zote kuwa kiongozi hana tofauti na Nyerere

    Zitto na Nyerere hawafanani ila Zitto ni mwana-CHADEMA halisi. Lema na Mbowe kazi yao kutafuna pesa za M4C. Dr Slaa na Lissu hawaelewi chochote wanapelekwa tu kwa sababu ni wapenda madaraka. So wapenda madaraka Vs wapenda pesa
  10. N

    Dr. Kitila Mkumbo, Professa J kunogesha Kongamano la BAVICHA

    Dr Mkumbo ni mkweli kama tunamwamini basi tuyaamini hata yale anayoyasema kuhusu Zitto
  11. N

    Ziara ya Slaa Kigoma na Tabora ina tija kipindi hiki?

    Zitto si zaidi ya CHADEMA lakini anatisha....Arusha Chadema imelazimika kwafuata watu Siko kuu tofauti na zamani walikuwa wanafanya mkutano Soweto na watu wanajaa. Sasa hivi wanafuata watu sokoni na bado watu wapo busy...... Lema anakera lakini anapendwa na vibaka wachache wa Ungalimited maana...
  12. N

    NAHITAJI iPhone 5 urgently.

    Nitumie hela kwa Mpesa halafu nitakutumia kupitia Dar Express nipo Mwanza
  13. N

    sitasahau wadada nimewavulia kofia.

    Halafu cheki ulivyo ---- hata condom hutumii! Utakuwa umeshamwambukiza ngoma sasa!
  14. N

    sitasahau wadada nimewavulia kofia.

    Kwani wewe ni bikra? Na ulitaka bikra au mke? Na ni nani kakuambia kuwa mwanamke bikra ndo anafaa kuolewa? Tunaungana wote kulaani kitendo ulichomfanyia huyo Dada. Nisamehe nikuite "MZINZI MKUBWA WEWE!"
  15. N

    Viongozi wa CHADEMA 'wadanganya': Mh. Lissu atofautiana na 'uongozi' wa CHADEMA Singida.

    Tunashukuru sana kwa uchambuzi huu ambae msomi yeyote mwenye kutaka uchambuzi makini ataukubali. Tatizo ni kwamba wa Tanzania wengi siku hizi wanapenda kudangnywa na propaganda. Simfahamu aliyechambua hizi documents lakini anaweza kuwa mwanasheria mzuri
Back
Top Bottom