CHADEMA Kuchagua Siasa: Plan "A" Vs Plan "B". (Hakikisha unapitia kwa makini.)

Nionavyo ni kwamba baadhi yenu ndani ya Chadema hata hamjui misingi ya hiki Chama.Hiki ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambapo kutofautiana kimtazamo & kukosoana ni moja wapo ya values za hiki Chama.You could be on the wrong Party for sure!Sorry!!??

TECH WIZ
Without Sorry!
Labda huu Mgeni hapa na hunijuhi,
Nitarudia tena.
Kibanga Hana chama na Hajawahi kuwa na chama.
Vinavyo msukuma Kibanga kushabikia Siasa ni:-
1. Chuki zidi ya CCM
2. Kutaka kuona mabadiliko na maendeleo yakipatikana nchi hii.
3. Pia naamini sio lazima upinzani uchukue nchi kupata madiliko, asa long as tuna upinzani Imara na wenye kuchallange rulers inatosha kulete mabadiliko nchi hii.
4. Nimeshabikia NNCCR ilipokuwa juu, Nimeshabikia CUF ilipokuwa juu na sasa Nashabikia CHADEMA kwa kuwa ipo juu na hata kesho CHAUMMA au chama chochote kikiwa juu nitakishabikia na kukiunga mkono.

Kinachoniumiza mimi ni hizi jitihada zenu za kuibomoa Chadema huku mkiamni kuwa itaendelea kubaki juu, yani mchana unaiunga mkono usiku unaiponda na kuikandia.

Na ndio maana nawapa ushahuri kwa wahafidhina walioko Chadema leo hayo mabadiliko mnayoyataka hamuwezi yapata, na solution ni kwenda kuanzisha chama kingine kama hamtaki haya, Ila historia itawahuku na kutukumbusha, na hakika ilishasema " Huwezi kula cake yako na bado ukaendelea kuwa nayo"

Pia samaki mmoja akioza baso ni wote, huwezi kuiponda chadema huku na wewe ukijinasibu ni mwanachadema huku ukijifanya eti ni demokrasia, semokrasia ya wapi hiyo?

Tuache unafki solutioni ni kwenda kuanza moja na hakika tutawaunga mkono kwani atalast tunachotaka ni kuona CCM ikisimamiwa vizuri na sio kuchiwa ifanye itakavyo na kwa sasa Chadema inafanya vizuri kwenye hilo na ndio maana tunaiunga mkono.
 
Last edited by a moderator:
You are flipping wrong dude!Bethlem have as much right as you to speak his mind & no one not even you who could deprive him of that constitutional right.The Party's Constitution provide him with that freedom of expression right,Philosophical dogma is not allowed in Chadema only is allowed in the Communist Party of CCM where its leaders are chosen but not elected through the ballot box.We don't wanna see Chadema following the suit.

Ndugu hata Nyerere alisema CCM sio Mama Yake na ni kwa kuwa ilikuwa inapoteza misingi yake, Sasa kama wewe umegundua Chadema haifuati misingi uitakayi Plan B, fujo za nini ? Si uende ukaanzishe au amia huko unakoona kuna Plan B ?
 
Betlehem,

Habari za weekend?

Ndugu yangu, nimekusoma vizuri. Plan A na B umeziweka bayana. Hata hivyo kuna upungufu mkubwa katika hizi plan ulizoweka.

Umefanya assumption kwamba lengo kuu la Chadema kama chama cha siasa ni kupata fursa ya kuunda serikali.

Hata hivyo kwa Chadema hilo sio lengo kuu. Chadema ikifika 2015 hata ukiwaonyesha marking scheme ya jinsi ya kushinda uchaguzi, hawako tayari kuifuata marking scheme hiyo iwapo vitu fulani havijatimia.

Fursa ya kuunda serikali Chadema wanaitaka but with conditions.

Cc Pasco

Well said na nilishasema tokea mambo haya yaanze kuwa chadema ilipofikia ni wahafidhina na wenye chama wakubali chama kiende na kiwe cha kitaifa kitanuke na kichukue kila kila kitu na kila mtu au wakomae na kuzuia chama kukua na wabaki na chama chao na watu wao wachache lakini wanao juana mipango yao na nia yao.

Na hakika Chadema wamechagua kutokukua na si kweli kuwa kitakufa ila kitabvaki na wenyewe, maana hata DP ipo na inawenyewe, TLP ipo na inawenyewe.

Na ndio nawashairi hawa wasomi na wenye akili nyingi waanzishe chAo na wakiachiie kama Kokoro kichukue kila mtu na kila kitu na hakika tuta waiunga Mkono.
 
Last edited by a moderator:
Asante mkuu kwa uchambuzi wako.. Lakini kwa Tz ya sasa kupata chama kitakachoenda na plan B ni ngumu sana. Sbb viongozi wakuu wa vyama vya siasa nchini Tz wanaaply plan A ambayo inabeba maslahi ya wakubwa. Vijana na watu wenye mitazamo ya plan B wanapaswa kuunganisha nguvu na kuunda strong political party. Kwani tuliowategemea cdm wana madhaifu mengi sana.

Lilambo
Hakika huo ndio ukweli na amini usiamini hata huyu leo akianzisha chama chake na wasomi wenzie baada ya miaka michache lazima watarudi hapo kwenye PLAN A.

Maana hawatakubali chama chao kiiende kwa wengine na kiwe cha kitaifa na kama tunabisha waanzishe kama watafika mbali na hawa vijana wa sasa hakika lazima kinuke.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Kibanga Ampiga Mkoloni hili neno Wahifadhina au Conservatives kulitumia kwa watu kama akina Mbowe kidogo inanipa tabu sana,Yaani ninaona hili neno Conservatives kama vile linatumika kwa watu wasio sahihi (wrong people).Nadhani akina Mwigamba & the likes ndio waliostahili kuitwa Conservatives kwa maana wanapambana kulinda misingi na tunu za Chadema vinavyoharibiwa na baadhi ya Viongozi ndani ya Chama.Conservatives ni kundi la watu linaloamini katika kulinda na kudumisha tunu na misingi ya jamii flani katika eneo la kijiografia au taasisi flani.So mimi nadhani wa kuondoka hapa ni hawa rebels wa misingi ya Chama wanaotaka kubadili vifungu kadha wa kadha ndani ya Katiba visivyo rafiki kwao.Wengineo tutaendelea kupigania misingi iliyopelekea kuanzishwa kwake hiki Chama.
 
betlehem

Hivi kama wewe ni msomi mwerrevu na bora zaidi ya wengine, sasa kwanini unangangania kukaa na wajinga? Hivi ujuhi Samaki mmoja akioza basi wanaoza wote ?

Huoni sasa na wewe pamoja na ubora wote unaojidai kuwa unao, Unavyoendelea kubaki CHADEMA na wewe unaonekana ni walewale ?
mkuu hayo maneno yenye bold nyekundu nani anayasema? ni mimi au niwewe unayasema halafu unanipakazia mimi? any way changamoto inayokukumba naielewa kiasi.

Nakumbuka wakati tunasoma primary, tulikuwa tunakalia madawati ya watu wawili mpaka watano.Basi wakati fulani unakuta wavulana wengi wanapenda kukaa na msichana fulani au wasichana wanapenda kukaa na mvulana fulani. Basi utakuta mvulana/msichana wa watu anashambuliwa kweli.Mara anaringa,mara anajiona ana akili sana, mara anajifanya mzuri n.k Sasa mtu ukijiuliza kwani muhusika yeye kafanya nini ! unakuta hamna kitu.Hapo ndipo unapogundua kwamba wanadamu tuna kazi kweli.

Any way au unataka uniundie mazingira nianze kupatiwa huduma ya "character assassination!" maana huwa huduma hiyo huanza kwanza kwa kupakaziwa, halafu wakitokea waungaji mkono ndo basi tenaaaa! utasikia tu "hatutaki ushahidi wala nini, sisi tunasema huyu dogo ang'olewe" tehe! tehe! tehe!
 
Mkuu Kibanga Ampiga Mkoloni hili neno Wahifadhina au Conservatives kulitumia kwa watu kama akina Mbowe kidogo inanipa tabu sana,Yaani ninaona hili neno Conservatives kama vile linatumika kwa watu wasio sahihi (wrong people).Nadhani akina Mwigamba & the likes ndio waliostahili kuitwa Conservatives kwa maana wanapambana kulinda misingi na tunu za Chadema vinavyoharibiwa na baadhi ya Viongozi ndani ya Chama.Conservatives ni kundi la watu linaloamini katika kulinda na kudumisha tunu na misingi ya jamii flani katika eneo la kijiografia au taasisi flani.So mimi nadhani wa kuondoka hapa ni hawa rebels wa misingi ya Chama wanaotaka kubadili vifungu kadha wa kadha ndani ya Katiba visivyo rafiki kwao.Wengineo tutaendelea kupigania misingi iliyopelekea kuanzishwa kwake hiki Chama.
TECH WIZ

PLAN A au PLAN B.

Je ni kwlei CHADEMA walishawahi kuishi PLAN B ? hadi tuseme leo wamedilika na kuwa PLAN A ?

Well welll
KATIBA?
Ni vifungu vipi hivyo vimebadilishwa? Unaweza Kunitonya?
 
mkuu kwani chadema inatakiwa ife? ndio lengo? kwani chadema ni adui yetu kwa uelewa wako?
betlehem

Samahani labda nakosea na sijawahi kukuuliza,
naomba unijibu:-
1. Je wewe ni mwanachama wa CHADEMA ?
2. Je wewe ni Mshabiki wa CHADEMA ?
3. Je wewe ni mpenda mageuzi ?

ukinijibu hayo hakika nitakuwa nimekujua vya kutosha maana inaonekana nakufananaisha na #TeamBK7 .
 
Last edited by a moderator:
TECH WIZ

PLAN A au PLAN B.

Je ni kwlei CHADEMA walishawahi kuishi PLAN B ? hadi tuseme leo wamedilika na kuwa PLAN A ?

Well welll
KATIBA?
Ni vifungu vipi hivyo vimebadilishwa? Unaweza Kunitonya?

Sina jibu la moja kwa moja kama Chadema chini ya Mbowe na wale watangulizi wake waliwahi kutumia Plan B ila ninachojua ni kwamba aina ya watu walioelezewa katika hiyo Plan B walikuwepo hata katika Uongozi huu wa Plan A na Viongozi walishindwa kabisa kuwavumilia hawa Makada ikawatafutia sababu ya kuwaondoa katika nyadhifa walizokuwa wanazishikilia hili hawa Viongozi wapate kupumua hapa nawazungumzia akina marehemu Chacha Wangwe,Juliana Shonza na sasa akina Zitto.
 
Your analysis is very through and scientific because it let's the results speak out of intentional or accidental actions,
Though it ignores the fact that human beings are egoistic in nature and the institution is made up of those very egoistic human beings. In a capitalistic society I do not expect such type of the party with plan B and for that reason it is an ideal typology of a strategic plan.
Mbowe and Slaa have got their personal interest and so is Zitto. Those personal interest are logically contrary to the plan B of the party so far as they are personal while a party that has to realise a developmental goal can not accommodate all those differences.
I conclude by saying CHADEMA can never opt for plan B because it can't stand the personal interest; the egoistic nature of the leaders and their followers....
The very individual will claim their personal interest to be the public interest to maneuver the reality
 
mkuu hayo maneno yenye bold nyekundu nani anayasema? ni mimi au niwewe unayasema halafu unanipakazia mimi? any way changamoto inayokukumba naielewa kiasi.

Nakumbuka wakati tunasoma primary, tulikuwa tunakalia madawati ya watu wawili mpaka watano.Basi wakati fulani unakuta wavulana wengi wanapenda kukaa na msichana fulani au wasichana wanapenda kukaa na mvulana fulani. Basi utakuta mvulana/msichana wa watu anashambuliwa kweli.Mara anaringa,mara anajiona ana akili sana, mara anajifanya mzuri n.k Sasa mtu ukijiuliza kwani muhusika yeye kafanya nini ! unakuta hamna kitu.Hapo ndipo unapogundua kwamba wanadamu tuna kazi kweli.

Any way au unataka uniundie mazingira nianze kupatiwa huduma ya "character assassination!" maana huwa huduma hiyo huanza kwanza kwa kupakaziwa, halafu wakitokea waungaji mkono ndo basi tenaaaa! utasikia tu "hatutaki ushahidi wala nini, sisi tunasema huyu dogo ang'olewe" tehe! tehe! tehe!

Hhahah!
Ndugu wacha woga mimi nadhani tunaeleweshana tu hapa lakini kama na kukwaza just tell me, nita kaa kimyaa.
 
Sina jibu la moja kwa moja kama Chadema chini ya Mbowe na wale watangulizi wake waliwahi kutumia Plan B ila ninachojua ni kwamba aina ya watu walioelezewa katika hiyo Plan B walikuwepo hata katika Uongozi huu wa Plan A na Viongozi walishindwa kabisa kuwavumilia hawa Makada ikawatafutia sababu ya kuwaondoa katika nyadhifa walizokuwa wanazishikilia hili hawa Viongozi wapate kupumua hapa nawazungumzia akina marehemu Chacha Wangwe,Juliana Shonza na sasa akina Zitto.

Tukubaliane huwezi kuchanganya PLAN A na PLAN B,
Na tukubaliane kuwa CHADEMA ya sasa imefanikiw akwa PLAN A, CUF too walifanikiwa wakati huo kwa PLAN A. Na sasa naona wantumia PLAN B vipi unawaonaje mafanikio yao huko ZNZ na TZ Bara ?
 
Tukubaliane huwezi kuchanganya PLAN A na PLAN B,
Na tukubaliane kuwa CHADEMA ya sasa imefanikiw akwa PLAN A, CUF too walifanikiwa wakati huo kwa PLAN A. Na sasa naona wantumia PLAN B vipi unawaonaje mafanikio yao huko ZNZ na TZ Bara ?

Plan A ni nzuri pale Chama kinapoanza lakini si nzuri Chama kikishafikia hatua iliyofikia Chadema kwakuwa itakizuia kukua zaidi na pia migogoro ya kugombea madaraka kushamiri katika Chama.
 
Plan A ni nzuri pale Chama kinapoanza lakini si nzuri Chama kikishafikia hatua iliyofikia Chadema kwakuwa itakizuia kukua zaidi na pia migogoro ya kugombea madaraka kushamiri katika Chama.

mkuu Techwiz anachotaka kutuambia mheshimiwa kibanga ni kwamba tz hakuna chama cha umma na hakiwezi kuwepo.nadhan hilo ni suala lakufikirisha kidogo
 
Last edited by a moderator:
Your analysis is very through and scientific because it let's the results speak out of intentional or accidental actions,
Though it ignores the fact that human beings are egoistic in nature and the institution is made up of those very egoistic human beings. In a capitalistic society I do not expect such type of the party with plan B and for that reason it is an ideal typology of a strategic plan.
Mbowe and Slaa have got their personal interest and so is Zitto. Those personal interest are logically contrary to the plan B of the party so far as they are personal while a party that has to realise a developmental goal can not accommodate all those differences.
I conclude by saying CHADEMA can never opt for plan B because it can't stand the personal interest; the egoistic nature of the leaders and their followers....
The very individual will claim their personal interest to be the public interest to maneuver the reality

Kwani umelazimishwa kuandika kiingereza?

Cc FaizaFoxy
 
Last edited by a moderator:
Kambarage kwenye miaka ya 60 mwishoni aliulizwa na wanachuo mlimani kwanini watendaji wake wananaonekana kutoenda na azimio la arusha. Alipogundua kuwa wanasumbuliwa na usomi wao akawambia anawasubiria wamalize chuo na wapewe madaraka kuimalisha hilo azimio. Liko wapi sasa? CDM wanatumia mchanganyiko wa plan zote. Sababu wtz walio wengi elimu iko chini, ni walulima na masikini, walidumazwa na CCM kushika hatamu, hamna wasomi walio tajiri kufadhiri chama, nk. Baya sana hali hii ya wtz tumefikishwa na wasomi! niamini.
 
Back
Top Bottom