are you serious????ni wazuri aiseeee
safi kukamata na wateja
Duuu...leo wamekakamata na kale ka albino ka maeneo ya kimboka? Almaarufu "mzungu" hakika kazi nzuri.
Mipolisi haifikirii lolote zaidi ya kuwaharibia watu riziki zao. Kwani wanawake si wanado kila siku ? Tofauti si kwamba hawa wanawapenzi wengi zaidi
ya hao wasioonekana wakiwemo wake zetu? Tafuteni mijambazi na mijangangili bana acheni kujifanya hamnazo enyi polisccm
Viroba ! Viroba ! Na huyo wa shati jekundu anaonekana kama ndiyo mara ya kwanza ile kusema nikajaribu tu !!!!
Ukidakwa kwenye maeneo hayo, unatamani ardhi ipasuke utumbukie. Huyo jamaa mwenye shati jekundu anaonekana ni mtu mstaarabu sana.
itafute MAPI, nchoi wanachama ambao ni mono-list kama SA wanafaidika na kodi za hawa, in fact wamehalishwa kwa Commercial Sex Workers (CSW)
Ukidakwa kwenye maeneo hayo, unatamani ardhi ipasuke utumbukie. Huyo jamaa mwenye shati jekundu anaonekana ni mtu mstaarabu sana.