Recent content by Ngaramanyagu

  1. Ngaramanyagu

    Mauaji na Utekaji Tanzania: CHADEMA walia na Serikali, Lema, Masha na Kigaira walaumu IGP Sirro na Magufuli

    Acheni siasa mfanye kazi nyingine,kama wenye nchi awataki,ilikuwa nccr mageuzi ikaja tlp hao wakapita na nyie mpite,,
  2. Ngaramanyagu

    Ina maana watu wote Duniani tumepotea? Ni nani ataiona mbingu?

    NDIYO,,,,hawatauona Ufalme wa Mungu Na hao wabudha,wahindu wanaabudu mashetani tu,
  3. Ngaramanyagu

    Ina maana watu wote Duniani tumepotea? Ni nani ataiona mbingu?

    "Kwa maana jinsi hii,Mungu akaupenda ulimwengu Haya akamtuma Mwanaye was pekee ili kila amwaminiye...............Yohana mtakatifu 3:16
  4. Ngaramanyagu

    Wabunge Lema na Nassari watoa ushahidi wa DC na Mkurugenzi Arumeru walivyowarubuni Madiwani 10 wa CHADEMA waliohamia CCM

    Waweke na ya kwao wakati wanachukua mkwanja kwa mamvi,kiki za kijinga hizi,wapeleke takukuru na sio hotelin
  5. Ngaramanyagu

    Angelina Jolie: 'Sina furaha kwa kukosa mpenzi, nahisi upweke''

    Lakin mjue hana nyonyo walishakata,sasa sisi wapenda manyonyo tumeghairi,huku Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Ngaramanyagu

    Quran na uislam zilipishana wapi na kwanini??

    Propaganda za mudy azijawaacha watu salama, Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Ngaramanyagu

    Fahamu namna unywaji wa maji unavotibu magonjwa mengi

    Nakunywa glass moja tu kwa siku,sijawahi kuumwa kwa siku, Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Ngaramanyagu

    Kuna mbingu na akhera

    MBIGU na ahela''mwendokasi bhana tabu tupu, Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Ngaramanyagu

    Kwanini michepuko inavunja unyumba? Wanawake kwanini hampendi kusaidiana?

    Mwanaume anatakiwa aishi kwa akili,mwanamke ni chombo dhaifu,unaweza ukawa na mchepuko na maisha ya ndoa yakawa safi. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Ngaramanyagu

    First 11 ya Simba Fc Next season 2017/2018.

    Li-timu la miemko,hadi mashabiki.Laana ya mafisango inawatafuna.
  11. Ngaramanyagu

    Serikali kuanza majaribio ya watu kujipima UKIMWI wenyewe

    Alafu mimi uwa najiuliza,unapimaje homa ambayo aina dawa wala tiba,huu si ujinga maana kabla unaishi no stress,ukipima tu stress zinaanza,.ah yann kujipa tabu na ugonjwa wa kutengenezwa marekan nawaza tu kwa picha;
  12. Ngaramanyagu

    Wanawake hawapendi miaka yao ijulikane

    Inategemea unamuuliza umri katika mazingira gani;,kama katika mahusiano awezi kuwa mkweli,nje ya hapo atakuwa mkweli kama Ebitoke!
Back
Top Bottom