Recent content by Ngao ya Sponji

  1. Ngao ya Sponji

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Asante, na je Kuna speaker ambazo zinabass nzuri inayojitegemea? Subwoofer yangu ina spekaer 5 lakini zote Zina cheza kama tweeter tu hazina bass, Bass inatoka Moja kwa Moja kwenye Radio yenyewe. Nilikua nataka nifaham kama Kuna speaker ambazo angalau Bass yake ni nzuri ambayo ikiungana Ile...
  2. Ngao ya Sponji

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Unaweza tumia speaker nyingine tofauti na zilizokuja nazo? Natumia Boss ila bado siridhiki na Bass lake japo ziko Vzr Sana. Pia naomba kuuliza speaker zipi nzuri zenye bass ambazo naweza kuzitumia kama mbadala asante
  3. Ngao ya Sponji

    Kupima DNA liwe suala la lazima

    Mkuu huo ni mfano usio na mashiko, Ugiriki na Tanzania ni jamii mbili tofauti kabisa, tuna taratibu na Tamaduni mbili zisizoingiliana kabisa. Huko hata Mtoto kumkaripia mzazi na kumshtaki Kwa kosa la kumchapa ni Haki. Sisi tuna Utaratibu wetu, na Hiki nilichoongea ni Moja ya Utaratibu wetu kama...
  4. Ngao ya Sponji

    Kupima DNA liwe suala la lazima

    Tusifike Huko Mkuu[emoji23], Uhai ulindwe Kwa Gharama yoyote Ile lakini Damu zijulikane na mwenye uhalali apewe kilicho chake.
  5. Ngao ya Sponji

    Kupima DNA liwe suala la lazima

    Kwanza kukujibu hoja zako nianze Kwa kusema Binadamu Kiasili ni Mnyama, kinachotutofautisha ni features. Kila Mnyama ana Kila kitu ambacho Binadamu anacho utofauti ni katika ufanyaji kazi na Muonekano. Pili sijasema kizazi changu ni Muhimu kuliko Cha Mtu yoyote Bali nimeongea Kwa Ujumla. Kuna...
  6. Ngao ya Sponji

    Kupima DNA liwe suala la lazima

    Kwa Dunia ilipofikia Sasa Swala la KUPIMA DNA linapaswa liwe ni swala la Lazima Ili Kumlimda Baba, Mama na Mtoto kwa Ujumla. Usipojua uhalali wa uhusiano wa Damu katika familia Yako inakuweka hatarini kupoteza kizazi Chako na pengine wewe ndio unaweza ukawa Mtu mwa mwisho katika kizazi Chako...
  7. Ngao ya Sponji

    Cost comparison SGR Kenya vs SGR Tanzania

    Useless CCM Government, they're disgrace to this Beautiful Nation. Samia is absolutely unfit for the Position.
  8. Ngao ya Sponji

    Maswali ya interview NAOT na HESLB

    Mkuu Mondo za maafisa Hesabu ziko wapi?
  9. Ngao ya Sponji

    Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

    Ukimpeleka kwao akirudi anakuua, atakua kashasuka mipango swafi na Idea kama zote, Familia ishampa sumu za Kutosha akirudi huchukui raundi tunamuimbia muhuni
  10. Ngao ya Sponji

    Kumbe Urusi haipo kwenye G 7

    Sababu si hiyo tu, Mbona CHINA ni ya Pili Kwa Uchumi Mkubwa Duniani na Haipo kwenye G7
  11. Ngao ya Sponji

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Sisi tumefanya semina Siku 19 ambayo ni 760 na imelipwa yote
  12. Ngao ya Sponji

    Sensa: Kianalogia siku 1, kidigitali siku 7! Could there be something wrong somewhere?! Kesho mwisho! Je, ambao bado hawajafikiwa watahesabiwa?!

    Wala sio swala la WALIMU! Swala ni Manpower, Mtu mmoja Maswali yake kwenye kishikwambi ni 100, Akiwa mwanamke yanazidi zaidi ya hapo, imagine umekuta kaya Ina Watu 10 maana yake utawauliza Maswali 1000, kwahiyo hata ukiwa spidi Kiasi Gani huwez kutoboa Kaya zaidi ya 17 Kwa siku. Cha msingi...
Back
Top Bottom