Ndo mana mbaka leo hii wanashindwa kufanya marekebisho ya mishaara kila askari alipwe kutokana na elimu yake kwa sababu wanajua kijana mwenye degree ata akiwa Ward au Wadress atakuwa anapokea mpunga mrefu kuliko hivyo vizee vyao vya nyota 1,2 au 3 mana vingi avina elimu kisa ana mda mrefu...
Jeshi la Magereza badilisheni utaratibu wa kuchagua askari kwenda kozi ya nyota moja. Yaani mnachaguaga wazee ambao tayari wameshafika umri wa kustaafu kwa rank zao za vyeo na kuacha vijana wenye elimu na uwezo wa kufanya kazi vizuri ili kufanya Jeshi la magereza lenye mwendokasi.
Waziri na...
Saa 4 usiku buguruni ndo mishemishe zimepamba moto hivi ni kweli Said awe anapigwa na kutolewa macho kwa ule umati wa watu wamwangalie tu? Alafu huyu scorpion kama kibaka mbona hakuchukua chochote kwa saidi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.