Kutukanwa njiani ukisalimiwa na mtu, kulazimishwa kwenda out, kuletewa zawadi kila wiki. Wivu wa kupindukia. Oh huyu ni nani, unasubiliwa ofisini mlangoni usipitie mahari popote. Out za kumwaga.
Watu wengi huwa tunafukunyua mambo tukidhani yatatuletea furaha ila mala nyingi huwa ni huzuni. Ulipofikia inatosha. Ulitaka kumjua ,umemjua. Endelea na maisha yako. Msamehe usijibebeshe laana yake. Baba aliye kulea ndo baba yako. Mkuu pole sana hauko peke yako wapo wengi.
Huwezi vunja ndoa kwa kisikiliza maneno ya mtaani. Utavunja ngapi. Umeongea na mumeo. Kakuambia nini. Je usingeambiwa na huyo ajuza juu ya huo uhusiano usingekuwa unajua. Je lipi bora., kuachwa huyo ajuza na wewe kujua au kutokujua na wao waendelee ukiwa ndani ya ndoa. Punguza hasira. Ongea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.