King Kong III
Platinum Member
- Oct 15, 2010
- 62,806
- 94,893
Akienda kuny.a inabidi anawe kwanza ndio any.e?
me namtaka awe anasafisha ugali kwa sabuni kabla ya kula
na akimaliza kula anywe na sabuni ili kusafisha tumbo.me namtaka awe anasafisha ugali kwa sabuni kabla ya kula
Kuna watu wako hivyo. Ila hawako sawa ni ugonjwa wa akili. Anahitaji tiba. Ndugu yangu mmoja yuko hivyo huwa anatusumbua sana.
Nicheke mie, hivi ukikuta post inakugusa unafanyaje ? Upite kimya kimya au una-comment?
Kuna jamaa yetu mkikaa naye akihisi harufu mbaya tu atataka kuwapuliza pafyum hadi matakoni, kuna siku tuliamua kumzingua amekoma hadi leo manina zake.
Akienda kuny.a inabidi anawe kwanza ndio any.e?
Kuchamba kwingi huishia....