Yamenikuta

Yamenikuta

Mimi nimependa style yako ya kufikisha ujumbe. Vaa condom, halfu mpe anachokitaka!
 
Poleee kwa hilooo na hongera kujitunzaaaa ..... lkn m hoja yng n
1... mdada huyo hazimtoshi mana km antk ageuzwe afuanainsist .... c mwm ukizingatia na situation yako.... atakuharibiaaa.... wasichana n wng ..... run for u a lifeee
2..... umeshajua ana mtu na wamezaaa ..... bd unatafutako nin .... utakuja achwa solembaaaaa ...... mapenz ynauma aseee
3.... mpeleke hospital achunguzwe uckute ana mental illiness .......... maamuz memaaaa

Ukiandika kwa kifupi toa na maana yake. Nini hiki?.
 
dogo ---- makin kwa wanawake akikuzid only one years sio mwenzako, inasemekana wanawake wanaanza balehe mapema xo for four yers anamambo mengi makubwa kimbia mapema maan ikisha data hapo hata na greda hatukutoi
 
Hiyo tigo yake ilishatumika sana ..anataka we uendeleze tu..wala hawezi kuacha
 
Mkuu Kamwendo a.k.a Ashley ww ulimkera sana shetani ulipoweka nia ya kujitunza mpaka ndoa. Sasa ndo kakuletea mtego na ww umenasa kirahisi. Ushauri wangu achana na huyo demu mapema ama ujiandae na majuto hapo mbeleni. Huyo demu ni Devil's Advocate
 
Mkuu Kamwendo a.k.a Ashley ww ulimkera sana shetani ulipoweka nia ya kujitunza mpaka ndoa. Sasa ndo kakuletea mtego na ww umenasa kirahisi. Ushauri wangu achana na huyo demu mapema ama ujiandae na majuto hapo mbeleni. Huyo demu ni Devil's Advocate

kwii kwi kwi Ashley??umenichekesha sana
 
unapenda vya bure vitakutokea puan subir mgeuze nawe utageuzwa
 
Anataka umzibue MTARO wa maji taka??? Khaaaa....
 
Wanasema mke wa mtu sumu . Mkuu ulikosea toka mwanzo wa mahusiano yenu yaelekea hukujipanga n kujua ni mwanamke wa aina gani anakufaa ktk maisha yako ukajikuta umeingia kichwa kichwa kwenye uhusiano huo.

Sasa unachotakiwa kufanya ni kuacha zinaaa ikiwezekana ikimbie . Endelea kuishi maisha ya uaminifu kulingana na imani yako. Kiumri bado mdogo sana kuna mengi yanakusubiri sasa jipange kuyakabili kwa msaada wa Mungu.
 
Not every venture ends in crimax, a fact well known to many women
 
Wanasema mke wa mtu sumu . Mkuu ulikosea toka mwanzo wa mahusiano yenu yaelekea hukujipanga n kujua ni mwanamke wa aina gani anakufaa ktk maisha yako ukajikuta umeingia kichwa kichwa kwenye uhusiano huo.

Sasa unachotakiwa kufanya ni kuacha zinaaa ikiwezekana ikimbie . Endelea kuishi maisha ya uaminifu kulingana na imani yako. Kiumri bado mdogo sana kuna mengi yanakusubiri sasa jipange kuyakabili kwa msaada wa Mungu.

Asante sana kwa ushauri wako mzuri Mpendwa Ablessed,
Nakuahidi nitaufanyia kazi.
 
Dogo sio level yako huyo.

Ukisikia mtu anatumiwa (ua being used) ndo wewe.

Kimbia achana nae, u will regret soon or later.

Wasichana wako kibao tu tena wa saiz yako. Na sikuiz kutongoza sio had barua, tafta unayehis unampenda mtext na umjulishe nia yako. Haichukui hata siku mbili ushaopoa ka under 18 ka chuo saaaaafi.

Dogo utajuta kama utajitia ukichwa ngumu.
 
Back
Top Bottom