Recent content by nG'aMBu

  1. nG'aMBu

    Wenye hela wananishangaza. Maajabu hayaishi duniani

    Mtu anakuambia BMW ni mbovu cha ajabu hajawahi hata kumiliki tairi yake, daaah
  2. nG'aMBu

    Unawaomba radhi wageni kwa kuwakatia intaneti kwa siku 6 halafu wazalendo uliowaua hata majina yao unajifanya hauyajui!

    Daaah hata mm nilitaka kuuliza swali hilo hilo, natumai atajibu
  3. nG'aMBu

    Watanzania bara hawana udini

    Kabisa nimekulia magomeni kagera asilimia 99 ni Muslims lakini sijawahi baguliwa na ukristo wangu
  4. nG'aMBu

    Tetesi: Kesho Dar watu wana jambo lao

    Golan unapajua? Kule ni ukanda wa gaza, wangefika wangekimbia
  5. nG'aMBu

    Humphrey Polepole atekwa usiku wa kuamkia leo Oktoba 6

    Wabongo kwa unafiki hamjambo, akina Mange akisema mnadai oooh mbona kakimbia nchi, haya Polepole anayasemea yupo hapa hapa nchini, mmerudi tena ooh ajielewi angeondoka nchini, Watanganyika kuna kipande cha ubongo kiling'olewa wakati unazaliwa, Unafik tu
  6. nG'aMBu

    Mabaunsa wapewa onyo kali

    Baunsa anaomba pesa kama mwanamke daaah
  7. nG'aMBu

    Mwizi amechomwa moto mtaani kwetu alfajiri ya leo. Kuna tetesi Polisi wanataka kuja kukamatwa watu, nifanyeje?

    Hiyo desturi imeaanza lini? Mbona wezi wanaotangazwa na CAG hawachomwi moto, hauoni km ni unafiki?
  8. nG'aMBu

    Kila nikitaka kumhurumia Tundu Lisu, moyo unaniambia nisubiri kwanza

    Aliwateteaje Wazungu, embu nikumbushe aliyewaita wanaume wamekuja baada ya ishu ya makinikia?
  9. nG'aMBu

    Mwizi amechomwa moto mtaani kwetu alfajiri ya leo. Kuna tetesi Polisi wanataka kuja kukamatwa watu, nifanyeje?

    Kwanini mumchome moto, nchi ina liana hii aisee, ustaarabu gani huu
  10. nG'aMBu

    Hivi huyu Wastara hana ndugu zake?

    Tabata alihama?
Back
Top Bottom