Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 6,750
- 14,491
- Thread starter
- #21
🙏🙏🙏Hawatafanikiwa, usijali, it's too late kwa hayo, ni sawa sawa na kuanza kulewa ukiwa na miaka 75, tumepita hapo kwenye udini mda sana
🙏🙏🙏Hawatafanikiwa, usijali, it's too late kwa hayo, ni sawa sawa na kuanza kulewa ukiwa na miaka 75, tumepita hapo kwenye udini mda sana
Upo Jf gani ?Sijawahi kumwona au kumsikia Mkristu anayemchukia mtu wa dini nyingine(naowajua); ila nimewasikia wengi wa upande mwingine na ghadhabu kabisa na kuapiza chuki iliyopo. "The Fire in the eyes" inatisha sana
Kilichopo ni kuomba wazalendo kupata ujasiri, maana wahuni ni wachache na nguvu yao ni katiba.Tumefika pabaya sana. Hakuna tena uadilifu, uzalendo, uaminifu kwa nchi. Kuishi viapo vyao.
Wanashindana kuiba, ukiwapa dau, cheo, pesa. Watanganyika wengi ni wasaliti. Sijui kama wanakumbuka hata viapo vyao.
Tunashangaa kwanini tuliuzwa utumwani,wakina chief mangungo, leo tunauzwa, sio tu kuuzwa, kuuwawa, kuteswa, kulawitiwa, kubakwa, kupotezwa na Watanganyika wenzetu waliopewa pesa, cheo.
Kilichopo ni kuomba wazalendo kupata ujasiri, maana wahuni ni wachache na nguvu yao ni katiba.
Shida ni ustaarabu, na mjinga ukijifanya mstaarabu atakufanyia abuse.
Tayari washaonyesha hiyo abuse of power kutokana na katiba (kama mimi na wewe tunaona) na wao wameona.
Ni swala la tolerance na loyalty ya mustakabali wa kiapo cha walio wengi kuilinda Tanzania.
Wizi auzuiliki serikalini, lakini kuna abuse za madaraka za wazi; kuna uvumilivu na kukosekana kwa vyombo vya ulinzi.
Una sababu gani ya kununua G Wagin wakati kwa nafasi yako serikali inakupa luxury land cruiser na escort.
Akili za kipuuzi tu na tamaa za mali kwa walinzi wa taifa.
Waibe tu no one cares, lakini kuacha taifa litumbukie kwenye udini kisa mali. Hiyo ni adhabu ya kitanzi (ni usalitI uliotukuka)
Ingependeza media zingeacha kurusha maudhui ya mtu au kikundi chochote kinachozungumzia udini. Ni bahati mbaya sana waliotuletea dini wao kwa wao wanagombana tena wa dini moja. Sisi amani ilijengwa katika misingi ya kitaifa na sio katika misingi ya dini.
Kwa sababu kuna genius mmoja ambae kaanzisha forum ambae katukasanya watu wenye interest tofauti.Ingependeza media zingeacha kurusha maudhui ya mtu au kikundi chochote kinachozungumzia udini. Ni bahati mbaya sana waliotuletea dini wao kwa wao wanagombana tena wa dini moja. Sisi amani ilijengwa katika misingi ya kitaifa na sio katika misingi ya dini.
Hao ni wachache sana, njoo huku mtaani utaona watu wengi hata hawana muda na hizo diniUpo Jf gani ?
Jf Wakristo ndio wanaongoza kwa nyuzi za chuki na kusimanga Uislamu na Kuna mpaka ID special kwa kazi hiyo.
Kipindi cha nyuma ukija Uzi wa Sheikh kulawiti dakika chache wanajaa Wakristo wakifurahia ,kutukana mpaka kuvuka mipaka kusema ndio mafundisho yao nk. Lakini Uzi ukija kuhusu Padri kufanya kitendo hikohiko Uzi unapoa na wanasema hayo sio mafundisho ya ukiristo.
Mimi binafsi nilikuwa naamini Wakristo ni watu poa hawana chuki kivile ni kawaida na wachache sana , ila Imani hiyo ilinitoka baada ya Kuna Jf humu ndio nimeshuhudia live yaliyomo vifuani mwao unakuta jukwaa la Habari na Hoja Mchanganyiko lote zimajaa nyuzi kuhusu Uislamu na kuusema kwa chuki.
Hao ni wachache sana, njoo huku mtaani utaona watu wengi hata hawana muda na hizo dini
Sijasoma jukwaa lolote lingine zaidi ya siasa, ila hii ya ku-discuss hapa, ni hisia za kufikirika tu, watu wanadhani, siyo ya moyo. Ila ukiona Mufti au Padri au Sheik anatoa mishipa na macho yanawaka moto hapo ndiyo udini. Kama alivyosema Quimby hapo juu, kwa Tanzania ya sasa sioni huo udini kwa waTanzania. Halafu kiukweli kwa nini uumie moyo, dini siyo kama race au wazazi au asili, dini zililetwa na ni imani, ukifikiria sana ukweli ndani ya dini zote ni swa tu, labda ondoa dini uisjifunge na dini, amini Mungu tu si sawa tu? Tunakuwa watumwa kwa uoga ambao hatuujuwi. Fear of unknown, ukiuliza sana unaambiwa unakufuru, na unaovyoona mauti, unatishika.Upo Jf gani ?
Jf Wakristo ndio wanaongoza kwa nyuzi za chuki na kusimanga Uislamu na Kuna mpaka ID special kwa kazi hiyo.
Kipindi cha nyuma ukija Uzi wa Sheikh kulawiti dakika chache wanajaa Wakristo wakifurahia ,kutukana mpaka kuvuka mipaka kusema ndio mafundisho yao nk. Lakini Uzi ukija kuhusu Padri kufanya kitendo hikohiko Uzi unapoa na wanasema hayo sio mafundisho ya ukiristo.
Mimi binafsi nilikuwa naamini Wakristo ni watu poa hawana chuki kivile ni kawaida na wachache sana , ila Imani hiyo ilinitoka baada ya Kuna Jf humu ndio nimeshuhudia live yaliyomo vifuani mwao unakuta jukwaa la Habari na Hoja Mchanganyiko lote zimajaa nyuzi kuhusu Uislamu na kuusema kwa chuki.
HawatawezaNdio, huo ni mkakati wa hii familia mbili, tatu, Samia, Kikwete, Rostam.
Ni kweli watanganyika hawajawahi kuwa wadini kama Afrighanistan, Pakistan, Somalia nk. Wanataka kutupeleka huko.
Kwa akili ya Samia, Abdul ndio uwezo wao unapoishia wakitumia kodi zetu kutugawanya kwa kuwalipa masheikh wa mchongo, kutukana TEC ili watutawale vizuri wakati tukigombania udini, ujinga.
Sahihi kabisa 💯🤝Hizo ni dharau za kudhania, watanzania hawana akili ya kuchakata baya na żuri kwao.
Watanzania awahitaji input ya viongozi wa dini (kwa wale wenye lengo la kuamasisha waumini wao) kwenye kupima utendaji wa kiongozi.
Kabisa nimekulia magomeni kagera asilimia 99 ni Muslims lakini sijawahi baguliwa na ukristo wanguWabara ni watu wenye urafiki, usio kujali dini ya mtu. .
Bara ni kawaida sana wacha mungu wa dini tofauti kuwa mabesty.
Bara muislamu hana shida akimpigia simu rafiki yake katikati ya week tukutane, na kujibiwa leo naenda kusoma biblia; tukutane usiku au kesho.
Bara mkristo anajua rafiki yake ncha mungu kama ni mtu wa sala tano mida gani ya kumtafuta.
Wale wenzangu na mimi ambao tumezaliwa kwenye dini tu, lakini nyumba za ibada hatuzijui. Ndio kabisa tofauti ya dini zetu huja kwenye mambo ya kifamilia hasa kwenye ndoa (usijehama) vinginevyo hatujali wala kufuata Sheikh sijui Padre kasema nini.
Kwanini wanasiasa, watu wachache wa dini; promoted by media outlets including JF; watuwekee emphasis watanzania tunatofauti ya udini.
Whilst ubaguzi wa dini sio sehemu ya socialisation katika malezi yetu nyumba tulizolelewa, mitaa tuliyokulia na nyumba za ibada tulizo huzuria.
Jamii Forums inatutaka nini watanzania na huu uhuru wa wakuachia wachangiaji wake kupalilia hizi chuki.
Mitaa hiyo hiyo hata tofauti ya John na Juma hakuna.Kabisa nimekulia magomeni kagera asilimia 99 ni Muslims lakini sijawahi baguliwa na ukristo wangu
Wewe bado ni muislamu 🙄🙄! ...matatizo ya kufuata dini kitumwa ndiyo haya ...yaani unafuata Dini kwa sababu baba na mama yako ni hiyo dini !! Je mtu wa hivyo anayo haki ya kuwa elekeza au kuwa kosoa watu kuwa dini zao siyo sahihi ikiwa yeye mwenyewe msingi wa kuamini dini yake kuwa ni ya kweli ni kutokana na kuzaliwa na wazazi wenye hiyo dini ? Swali ninalo taka kukuuliza mfano wewe adriz je ukitambua kuwa kweli kabisa Yesu ndiye Mungu utafanyeje mbele ya wazazi, na familia na waislamu wenzio...?Hao hao ndio wanaongoza hapa Jf kwa nyuzi mbaya na maneno machafu ya kidini pamoja na dhihaka.
Tunachekeana tu moyoni chuki zimetawlaa
Kuna namna fulani mimi naamini kiongozi mkuu wa chombo chochote cha usalama hatakiwi kuwa ametoka kwenye background ya maskini..Kilichopo ni kuomba wazalendo kupata ujasiri, maana wahuni ni wachache na nguvu yao ni katiba.
Shida ni ustaarabu, na mjinga ukijifanya mstaarabu atakufanyia abuse.
Tayari washaonyesha hiyo abuse of power kutokana na katiba (kama mimi na wewe tunaona) na wao wameona.
Ni swala la tolerance na loyalty ya mustakabali wa kiapo cha walio wengi kuilinda Tanzania.
Wizi auzuiliki serikalini, lakini kuna abuse za madaraka za wazi; kuna uvumilivu na kukosekana kwa vyombo vya ulinzi.
Una sababu gani ya kununua G Wagin wakati kwa nafasi yako serikali inakupa luxury land cruiser na escort.
Akili za kipuuzi tu na tamaa za mali kwa walinzi wa taifa.
Waibe tu no one cares, lakini kuacha taifa litumbukie kwenye udini kisa mali. Hiyo ni adhabu ya kitanzi (ni usalitI uliotukuka)
Yaani kweli kabisa sisi watanganyika hatuna vita za udini, Wazee wetu walitulea hivyo.Shule za kikristo tumesoma na waisilamu pamoja, Hospitali za waislamu wakristo tumetibiwa bila ubaguzi na tunashirikiana katika shughuli zote za maendeleo ya jamii yetu.Vikundi vya vikoba mama zetu wanashirikiana dini zote kwa umoja na upendo.Wabara ni watu wenye urafiki, usio kujali dini ya mtu. .
Bara ni kawaida sana wacha mungu wa dini tofauti kuwa mabesty.
Bara muislamu hana shida akimpigia simu rafiki yake katikati ya week tukutane, na kujibiwa leo naenda kusoma biblia; tukutane usiku au kesho.
Bara mkristo anajua rafiki yake ncha mungu kama ni mtu wa sala tano mida gani ya kumtafuta.
Wale wenzangu na mimi ambao tumezaliwa kwenye dini tu, lakini nyumba za ibada hatuzijui. Ndio kabisa tofauti ya dini zetu huja kwenye mambo ya kifamilia hasa kwenye ndoa (usijehama) vinginevyo hatujali wala kufuata Sheikh sijui Padre kasema nini.
Kwanini wanasiasa, watu wachache wa dini; promoted by media outlets including JF; watuwekee emphasis watanzania tunatofauti ya udini.
Whilst ubaguzi wa dini sio sehemu ya socialisation katika malezi yetu nyumba tulizolelewa, mitaa tuliyokulia na nyumba za ibada tulizo huzuria.
Jamii Forums inatutaka nini watanzania na huu uhuru wa wakuachia wachangiaji wake kupalilia hizi chuki.