Recent content by ngagani

  1. N

    Je, ni sahihi watu wa dini nyingine kuwafuturisha Waislamu?

    Ko ambao sio waislamu nimakafiri?
  2. N

    KWA WENYEJI WA SIMIYU

    Nauri ya bariadi mjini hadi shule ilipo ni buku tatu, nisikukatishe tamaa sana but hongera kwa kupata hiyo nafasi, ila jiandae kisaikolojia make shule iko kijijini sana kwa wasukuma
  3. N

    Wadau na wenyeji mnaoishi Kahama

    Nawiki mbili sahivi Niko kahama nilikuwa nasikia tu kuna mtaa kahama unaitwa Bija, leo imebidi nimwambie mwenyeji wangu tutembelee hiyo mitaa kwa kweli niliyoyaona ni shiiida. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. N

    Wadau na wenyeji mnaoishi Kahama

    Hahahaha umenikumbusha hiyo mitaa nimepita watoto wamejipanga misitari utafikiri wako paredi kumbe wanatafuta noti Sent using Jamii Forums mobile app
  5. N

    Mwandishi na Mfugaji!

    MMASAI huyo
  6. N

    Wanaume wanene na harufu kali ni kama paka na panya vile

    Utawajua tu waliotanuliwa na wanaume wanene hafu wakaachwa bila hata hela yasabuni
  7. N

    Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha sita 2017

    Nisaidieni kwa hizi shule, Magu secondary na Lugeye Secondary matokeo yake Post sent using JamiiForums mobile app
  8. N

    Tulioko Mwanza Tukutane hapa

    Niko KAYENZE Mwanza usafiri wangu wakuja mjini ni bus liitwalo DIGIDIGI nafikiri mnaokaa maeneo ya Ilemela mnalipata
  9. N

    Oparesheni za Kijasusi zilizofanikiwa zaidi katika Historia

    The Bold Uzi huo bro twausubiri
  10. N

    Nipo Arusha kikazi, uchunguzi wangu mdogo nimegundua yafuatayo...

    Watoto wakimburu hawajui kukataa mwanaume pia ukiwaangalia wana vichale viwili viwili kwa kila shavu
  11. N

    Mwanamke kuvaa chupi nyeusi mnakera

    Mwambie aitengenezee marinda labda itakuvutia
  12. N

    Kitovu na Uume wa mtoto.

    Hii kitu niyaukweli na mm ninaushahidi tosha mana kuna mdogo wangu wakiume wakunifata anatatizo hili yani hajawahi kusimamisha hata cku moja na dawa ya hili tatizo ni mpaka yeye agusishe uume wake kwenye k ya mama lkn mama ashaga fariki tangu mdogo wangu akiwa na umri wa miaka minne,na hili...
Back
Top Bottom