Mkuu @mshanajr mimi ni mwanaume ila yamenifika nimezunguka kwa waganga naambiwa nna ruhani eti hataki mimi niwe na mwanamke mpaka mtaani naonekana wa ajabu wengine wananihisi mm ni ommy dimpoz naumia sana kwa kweli
Mi nachukua kwa dada mmoja yeye yupo arusha huwa anauza mtumba mzuri sana kwa dar sehemu nyingi ni magumashi japo wapo pia wanaouza mtumba mzuri inagemea na nguo unayoitaka
Babu kastaafu kwa Sasa Ni mzee wa kanisa anakula pension yake nono badala ya kuweza kutembea vizuri na chaki yake kwa weledi aliyowapiku mpaka kina Dr Shika na wenzake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.