Mtalebani Mweupe
JF-Expert Member
- Mar 12, 2020
- 547
- 620
Jipatie Playstation 4 Slim 1Tb ikiwa na accessory zake pamoja na Game 1 ya Fifa kwa 750k maelewano yapo.
Microwave zipo.
Tv hatuna ndugu
Aisee hii nimeilewa sana unatia valuer ndani mgeni akikutembelea anajua unakunywa whisky za kibabe au hennessyChupa ni 12,000 na glass zake sita ni 16000
Jumlaa 28000 kwa vyote.View attachment 1965142
130,000Weka picha kiongozi...!
Kabisa mkuuAisee hii nimeilewa sana unatia valuer ndani mgeni akikutembelea anajua unakunywa whisky za kibabe au hennessy
Sawa mkuu na flow mda si mrefuendelea kuflow
Hiyo ni used .Mpya ni hii hapo sharpHii ni used au mpya mkuu...? Na pia ni brand gani kiongozi...?
Thanks.
Hiyo ni used .Mpya ni hii hapo sharpView attachment 1966042
140000.Bei gani hii mkuu...?