Recent content by ngaaspeter

  1. N

    Tanzania Editors Forum (TEF): Polisi wamwachie Maxence Melo bila masharti

    Jamani naomba mnisaidie jinsi ya kupost Habari ili iwe hewan na watu waione kwa ajili ya kuchangia na kutoa maoni.
  2. N

    Askari wa Tanzania Building Agency, Dar wailalamikia TBA kuwafanyisha kazi bila mkataba

    ASKARI WA TANZANIA BUILIDING AGENCY MKOA WA DAR WANALALAMIKIA T.B.A KUWAFANYISHA KAZI KWA MUDA MREFU BILA MKATABA WA KAZI.,WAPO ASKARI WA MIEZI 8,9,10 NA WA MWAKA MMOJA NA NUSU BILA YA KUPEWA MKATABA WA KAZI. Rejea hotuba ya Rais JP Magufuri kuagiza kuwa usimfanyishe mtu kazi bila mkataba wa...
  3. N

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    ASKARI WA TANZANIA BUILIDING AGENCY MKOA WA DAR WANALALAMIKIA T.B.A KUWAFANYISHA KAZI KWA MUDA MREFU BILA MKATABA WA KAZI.,WAPO ASKARI WA MIEZI 8,9,10 NA WA MWAKA MMOJA NA NUSU BILA YA KUPEWA MKATABA WA KAZI. Rejea hotuba ya Rais JP Magufuri kuagiza kuwa usimfanyishe mtu kazi bila mkataba wa...
  4. N

    Askari wa Tanzania builiding agency, dar wanalalamikia T.B.A kuwafanyisha kazi bika mkataba

    ASKARI WA TANZANIA BUILIDING AGENCY MKOA WA DAR WANALALAMIKIA T.B.A KUWAFANYISHA KAZI KWA MUDA MREFU BILA MKATABA WA KAZI.,WAPO ASKARI WA MIEZI 8,9,10 NA WA MWAKA MMOJA NA NUSU BILA YA KUPEWA MKATABA WA KAZI. Rejea hotuba ya Rais JP Magufuri kuagiza kuwa usimfanyishe mtu kazi bila mkataba wa...
  5. N

    Askari wa Tanzania builiding agency, Dar wanalalamikia T.B.A kuwafanyisha kazi bika mkataba

    ASKARI WA TANZANIA BUILIDING AGENCY MKOA WA DAR WANALALAMIKIA T.B.A KUWAFANYISHA KAZI KWA MUDA MREFU BILA MKATABA WA KAZI.,WAPO ASKARI WA MIEZI 8,9,10 NA WA MWAKA MMOJA NA NUSU BILA YA KUPEWA MKATABA WA KAZI. Rejea hotuba ya Rais JP Magufuri kuagiza kuwa usimfanyishe mtu kazi bila mkataba wa...
  6. N

    Nape Nnauye ahojiwa na TAKUKURU kwa masaa 5

    Mkuu tutaaminije, huenda ww pia tayari wameshakumegea kafungu chako. Maana nillijua tu lazima mjisafishe ggg
  7. N

    Nape Nnauye ahojiwa na TAKUKURU kwa masaa 5

    CCM yote inanuka rushwa mwanzo - mwisho, cha ajabu wanakandia wapinzani ili hali wao ni Mamba haswa!
  8. N

    Mwalimu wa shule ya msingi Isangwa Iringa ajinyonga

    Hawa jamaa, ni kama laana fulani toka kwa Babu yao MKWAWA, inaenda kizazi hadi kizazi, cha msingi wamrudie Mungu waokoke ili waepukane na hiyo laana.
  9. N

    Wananchi wafunga barabara ya Bagamoyo (Kawe bondeni), wakidai kuwekewa matuta

    We uliyeandika hii quote ni ----- kwa kuwa ingekuwa ndugu yako kagonjwa usingeandika upuuzi kama huu! Acha wananchi wadai haki zao hata kwa kujitoa kama walivyofanya!
  10. N

    Kamata fursa, Nafasi za kazi 4000 mwaka huu 2015

    Tanzania nafasi za kazi ni deal za watu. Education is very restricted, while the job is so fixed! Tanzania bila UFISADI haiwezekani!!!!!
  11. N

    Pinda, Werema waomba kujiuzulu. JK kuamua hatima saa moja usiku leo

    Tatizo ni pale viongozi na wasimamizi wakuu wa serikali wanachaguliwa kwa maslahi ya watu binafsi (mtu hana sifa ya uongozi anapewa cheo kikubwa) kupitia udhaifu wake huo watu wanakula mali za walalahoi na wananchi wa Tanzania. Sasa hata kama wakijiuzulu utawakuta bado wapo kwenye mifereji hiyo...
  12. N

    Juzi mpenzi wangu kaja kunitembelea ila amenikera

    " Wanajamii-Forum, Kero yangu katika jiji la Dar, suala la kukatika-katika umeme mara kwa mara;... Siku za nyuma walisingizia maji katika mabwawa yazalishayo nguvu ya umeme, lakini sasa cha ajabu maji yamejaa hadi yanatema nje ya mabwawa na bado mgawo a.k.a tatizo la umeme ni lile lile!. Mimi...
  13. N

    Juzi mpenzi wangu kaja kunitembelea ila amenikera

    Tatizo mnachukua mambulula vs mbulula (sasa tutawasaidaje) eliminikeni kwanza ujinga mtaacha.
  14. N

    Nipo kwenye wakati mgumu kwenye mapenzi

    Cha msingi, interval uliyotoka nayo yule wa kwanza na jinsi gani mliishi na mipango yenu ikoje. Ila kama wewe ni BOYA wa kubadili mawazo hata huyo utamwacha pindi ukihamishwa kitengo na kukutana na mwingine mkali tena.
  15. N

    Shahidi aeleza alivyoingiliwa kimwili na mganga

    Mbulula ni mbulula tu hata karne ya 21 bado mambulula wapo kibao tena katikati ya Mji. Kweli nimeamini hata Washngton bado utawakuta hawa mambulula .. wataendelea kuliwa wakishtuka kumekucha!!
Back
Top Bottom