Mara kwanza nilitoka Arusha naelekea Zanzibar nilijikuta napatwa na kizunguzungu ndani ya ndege ghafla nikawanaona giza,nachokumbuka nilichukua maji ambayo mzungu alikua ameshakunywa nikayanywa,jasho lilinitoka Sana huku mzungu ananishangaa tu,nilirudi hali ya kawaida na nikafika salama,mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.