Ujumbe kwa wanaJamiiForums wote

Ujumbe kwa wanaJamiiForums wote

Moro town!Meter Band 44700, frequence 559,kutoka usawa wa bahari!at SUA CAMPUS MAZIMBU!
 
Mimi muda huu nipo chooni naoga..ila huko nje nasikia makelele... nikitoka nitawaambia kuwa yalikuwa makelele ya nini....
 
Nipo hapa kilombero k2 Illovo napakia sukari kisha naenda kupata safari lager ya moto pale corner ya ruaha!
 
Last edited by a moderator:
​daaaahhhh baada ya kumaliza kusoma comments zote nimeisiwa nguvu
 
nipo pande flan hv amazing nacheki vishkwambi hapa wakaree wakipita.. ndo habar nlizonazo now
 
Haahaaaaa aminaaa msiturushietu pichazamwakajuzi za ajali
 
Nipo nacheck mdahalo itv kuhusu athari za sheria ya makosa ya mtandao za mwaka 2015 ktk uhuru wa habari na uhuru wa kitaaluma.
 
Back
Top Bottom